Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,310
- 7,716
Mwandishi alikwenda kumuhoji dereva moja mzee akiyekwisha staafu;
MWANDISHI: Mzee unaweza kunambia siku ambayo ulipata jambo la kutisha kuliko yote katika maisha yako ya udereva?
DEREVA: Ndio, kuna siku nilikuwa na teremka milima wa Sekenke, ghafla gari likaanza kupamba moto, kuminya breki zikakataa, nikaampigia kelele utingo aruke aweke kigogo, kumbe nae amekwisha ruka zamani, chini kukawa na gari linapanda mlima ikawa wazi nipeleke gari pembeni bondeni AAAAAAAAAAAA dah nimeharisha
MWANDISHI: Ni kweli Mzee katika hali hiyo mtu yoyote angaharibikiwa.
DEREVA: Siyo hivyo, nimekumbuka hiyo siku ilivyokuwa inatisha nimejiharishia sasa hivi, ndugu mwandishi dah
MWANDISHI: Mzee unaweza kunambia siku ambayo ulipata jambo la kutisha kuliko yote katika maisha yako ya udereva?
DEREVA: Ndio, kuna siku nilikuwa na teremka milima wa Sekenke, ghafla gari likaanza kupamba moto, kuminya breki zikakataa, nikaampigia kelele utingo aruke aweke kigogo, kumbe nae amekwisha ruka zamani, chini kukawa na gari linapanda mlima ikawa wazi nipeleke gari pembeni bondeni AAAAAAAAAAAA dah nimeharisha
MWANDISHI: Ni kweli Mzee katika hali hiyo mtu yoyote angaharibikiwa.
DEREVA: Siyo hivyo, nimekumbuka hiyo siku ilivyokuwa inatisha nimejiharishia sasa hivi, ndugu mwandishi dah