Dfour
Member
- Mar 18, 2010
- 47
- 10
Walikutana madaktari watatu kwenye mkutano, Mchina, Mjerumani na Mtanzania, majadiliano yakawa hivi;
Mchina: Kuna case moja nchini kwetu, mtu alivunjika mkono ukakatwa, tukamtengenezea mkono wa bandia na sasa anacheza karate
Mjerumani: Hiyo ndogo, sisi Ujerumani mtu alivunjika miguu yote miwili ikakatwa, tukatengeneza ya bandia na sasa hivi ni mwanariadha ameshinda medali 3.
Mtanzania: Hizo zote cha mtoto, hapa kwetu hapo Bagamoyo tu alizaliwa mtoto hana kichwa tukamwekea nazi na sasa ni rais wa nchi,
Mchina: Kuna case moja nchini kwetu, mtu alivunjika mkono ukakatwa, tukamtengenezea mkono wa bandia na sasa anacheza karate
Mjerumani: Hiyo ndogo, sisi Ujerumani mtu alivunjika miguu yote miwili ikakatwa, tukatengeneza ya bandia na sasa hivi ni mwanariadha ameshinda medali 3.
Mtanzania: Hizo zote cha mtoto, hapa kwetu hapo Bagamoyo tu alizaliwa mtoto hana kichwa tukamwekea nazi na sasa ni rais wa nchi,