Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Kwa mara ya mwisho kuhusu ATCL tumeweka kesi yetu wazi kwanini kuiharakisha kuruka tena na kuimwagia mabilioni ya fedha siyo tu ni kukosa hekima, lakini ni hatari pia kwani uamuzi huo umefikiwa kisiasa kuliko kibiashara.
Read and be the judge.
Attachments
Last edited by a moderator: