Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Mojawapo ya nakala ambazo ningependekeza ukishadownload toa nakala anangalau mbili na umpe mtu yeyote (siyo mfanyakazi mwingine mwenye internet) ambaye hana mtandao mtaani, barabarani au sokoni. Mpatie bure tu na mwache asome yeye mwenyewe! Na yeyote atakayefanya hivyo naomba utuambie ili tujue kuwa cheche zinaenea taratibu!
Hii ndiyo sababu tunazo nakala moja ya rangi nyingi (colored) kwa kujisomea kwenye mtandao na nakala ya pili katika rangi nyeusi na nyeupe kwa kuchapisha. Ukiweza kuchapisha ya rangi ni bora zaidi!
lengo letu ni kugusa fikra!
M.M.