Cheating?!

Technically, it not CHEATING, How does one cheat on someone who is no longer in a relationship with?


However personally I think if while on the break (Im assuming a short one)that happens, the fact that the patner couldn't keep it in his pants will speak volumes to me!
  • Was our time together that insignificant?
  • Does he really care? If so then why rush into the bed with another?

Well the longer someone seats around sobbing for you might help with your self-esteem but not theirs.Wakati mwingine mtu anaenda kwa mwingine haraka as a way of trying to get over the one they have just lost....take it as a ''SELF HELP PROCESS''.
 
Lizzy mama, mi kuna kitu nimejifunza kwa hawa wanaume yani huwa wana cheat vibaya sana!!! Ni wachache sana ambao hawatoki nje ya ndoa, wale waliokamatwa/shikwa na Neema ya Mungu kweli kweli, lkn kwa kawaida tu, huwa wanatoka sana.

Sasa basi kama anatoka mkiwa mna amani, furaha na kicheko, si zaidi pale unapokuwa mmenuniana mwezi/ wiki??? Hayo ya alikuwa hajui..... Ni kizingizio tu.hakipunguzi hasira ila kinweza kuongeza hasira!!!

mbona una ubaguzi wa jinsia?lizzy kaongelea patna we tayari umewarukia wanaume.
 
Jump humps! That what it is...
Mahusiano sio mchezo wa kuigiza..,got penseli?
 
Ndio tujifunze sio unamwambia mwenzako mmeachana kumbe umenuna bora uwe muwazi usije mpoteza huko alikoenda, maana kuna watu wataalam hawapewi hata chance moja wanafanya kweli mavitus atakayopewa akirudi anaona anacheza tu kwako
 
mbona una ubaguzi wa jinsia?lizzy kaongelea patna we tayari umewarukia wanaume.

Kwasababu yeye ni mwanamke kwahiyo anaongea kama mwanamke!!Ndo maana na wewe uko hapa ili usema kwa upande wako kama mwanaume!
 
Hapo haswa ndo nnapoongelea!!Kwanini watu wanaona ni kucheat wakati hata kama ni kwa wiki hamkua pamoja!!!

Nafikiria uamuzi kama huo ufanyike tu pale unapokuwa na uhakika kwamba hapo ndio mwisho i.e. umejiridhisha kwamba humtaki mpenzi wako tena na hata kama akijakuomba mrudiane hutaweza...otherwise kama bado huna uhakika na maamuzi yako basi ngoja hadi pale utakapo kuwa sure...
 
Well the longer someone seats around sobbing for you might help with your self-esteem but not theirs.Wakati mwingine mtu anaenda kwa mwingine haraka as a way of trying to get over the one they have just lost....take it as a ''SELF HELP PROCESS''.

If jumping into the bed with another patner is how one chooses to heal the wounds, then that leaves a lot to be desired about that person!! Even so I cant see how sex can substitute the connection that one attains through a loving relationship, unless ofcourse relationship iliyovunjika wasnt a meaningful one.
 
Salam wanaMMU!

Naomba niwaulize kitu..

Wote tunajua kila mahusiano hua yanakua na kiasi chake cha ugomvi!Kuna ule ugomvi ambao unamwacha mtu akifikiria kwamba mwisho wetu umefika...unakuta mtu ana hasira kiasi kwamba hawezi kufikiria kwamba bado ataendelea kua na mwenzake!!Katika hali ya kawaida watu kama hao wanaweza kumaliza hata zaidi ya wiki wakiwa na hasira na hata kama wanaongea haitakua katika hali ya maelewano!Sasa kwa kipindi kama hicho mmoja akihusiana sijui niseme kimwili, na mtu mwingine kama wewe ndo patna wake utapenda kujua pindi mambo yakiwa sawa kati yenu???Je nayo itahesabika kama kucheat???
Na je kama utakasirikia...kisingizio cha ''sikujua tutarudiana'' kitasaidia kupunguza hasira yako??

Kipindi cha week 2 nitoke na mwanamke mwingine plus zile hasira sijui....Naona anayefanya hivyo basi ana roho ngumu sana aisee....

Kama mimi partner wake wala sitotaka kujua nini alifanya na nini alikula nitaanzia pale nilipomkuta...Mapenzi ukifatilia sana mpenzi wako kafanya nini na hivi na hivi kila siku utakuwa na hasira na stress so vitu vingine kwenye relationship ni kupotezea tu...

Haitohesabika kama kucheat coz kila mtu alikuwa na mpango wake na hasira zenu zimepungua mmeamua kurudi na kuendeleza mahusiano...........Hapo sijui sikujua tutarudiana hapo napotezee nasema tu powa kwisha kazi......lakini kwa ndani karoho kana beep.....hahaha
 
EloDii....likizo imeisha?
Taratibu na mwalimu wa biafra binti.

Kwanza samahanini maanake hapa nilikuwa najibu nikiwa nasisinzia ujue!!!! Mwalimu wa Biafra ni nani au maana yake nini Bigrita?
 
Nimekusoma mama!!Kwahiyo hasira zinaongezeka kwasababu mtu anachukulia kama mwenzake alikua anamkomoa au??Maana kama mmegombana mpaka kuambiana kwanzia leo usinijue na juhudi za kukubembeleza zikagonga mwamba KWA MUDA kwanini mtu akasirike baadae??

Lizzy mama unamaanisha hawa watu wamegombana wameachana? Sasa kama ni hivyo hiyo sio cheating tena!!! Lakini kama mnaishi pamoja halafu m$nagombana halafu mwingine anafanya hivo, hiyo ndo cheating.

Kama amekuambia msijuane na akaenda kwa mtu mwingine ina maana kwa wakati huo alikuwa ana maanisha hakutaki kuna anayemtaka. Kama akienda akiona ameruka mkoja akakanyaga kinyesi halafu akaamua kurudi. Basi ni uamuzi wa huyo mtu kumsamehe au kutokumsamehe.

Lakini hio kwa mimi sio Cheating!!!
 
MCD... naomba kuuliza

Hivi hawa wanaume huwa wanacheat na sungura au wanawake?
Just believe me, hiyo hukumu unayotoa itabaki na wewe hadi utashangaa

Back to Lizzy... Hakuna justification ya cheating hata iweje, whether hasira au excitement... cha maana ni kuwa tayari kuishi na consequences za mistakes tunazofanya kwenye mapenzi

Nijuavyo mimi, mwanaume anaweza akawa alishakuacha siku nyingi lakini bado akaendelea kuishi na wewe for other reasons (sacrifice), which is the worst case a woman need to experience... na hao ndio wale unaowaona wanacheat consistently, ila anaishi na wewe sababu ya wattoto tu!

Wanasema sisi ndio sisi, all problems in our relationships zinaletwa na couples @ 50% each

MTM naomba unisamehe!!!! Unajua nilikuwa nasinzia bwana!!! Unajua ni kweli wanaume wasio kuwa na hofu ya Mungu wanacheat sana kwa mimi ninavyoona, na wanawake pia wanahusika hapa. Si nia yangu kuwahukumu lakini pia nahisi nilijibu kabla sijaelewa mada inataka nini?
 
mbona una ubaguzi wa jinsia?lizzy kaongelea patna we tayari umewarukia wanaume.

Nisamehe mwaya!!! Sikuwa na maana mbaya kiivo!! Naona nlijibu kabla sijaelewa, halafu pia nahisi nina tatizo la kuona kuwa wanaume wana cheat kuliko wanawake. Mnisamehe tu kwa hili wapendwa sirudii tena.
 
Wiki mbili tu kashacheat huyo alikuwa ampenga au alikuwa nae tayari huyo mtu.

Yaani nimegombana na mtu ndani ya wiki mbili hata hasira hazijaisha tayari mmmmhhh hiyo ngumu.

Ila anayerudia ni nani sasa yule ambaye hajacheat au? Ndo anakwenda kubembeleza na kukuta mwenzie kashajipimia tayari??
 
Wiki mbili tu kashacheat huyo alikuwa ampenga au alikuwa nae tayari huyo mtu.

Yaani nimegombana na mtu ndani ya wiki mbili hata hasira hazijaisha tayari mmmmhhh hiyo ngumu.

Ila anayerudia ni nani sasa yule ambaye hajacheat au? Ndo anakwenda kubembeleza na kukuta mwenzie kashajipimia tayari??

Au kwa mfano eti mtu anafiwa na mke wake baada ya miezi miwili mitatu kashaoa mwingine!!! Hivi kweli utasema amemuona huyo mwanamke na kumuoa mara tu baada ya kifo cha mkewe?
 
Hapo haswa ndo nnapoongelea!!Kwanini watu wanaona ni kucheat wakati hata kama ni kwa wiki hamkua pamoja!!!
Let me tell you Lizzy... technically wanawake huwa hawacheat, they always have nice reasons to console themselves when they do it. And guess what, haitakaa itokee mwanaume akajustify going out of relationship hata kama ingekua wako apart for three years

Pesonally mdada akitoka akakaa nje huko maka mmegombana na akarudi kwangu, basi ntamcheka na kumdharau kwani hakupata alilchotaka na kumbuka a woman akiondoka kwa man always huwa anakimbia vilio, manyayaso, vipigo, cheating nk. and when she comes back ina maana amekubali vyote vibaya alivyoondokea kwangu... SHE WOULD DEFFO BE A JACK-ASS

UKIACHANA NA MTU NA WEWE NDIO UKAWA WA KWANZA KUONDOKA USIRUDI, KWANI NI SAWA NA KULA MATAPISHI
 
Back
Top Bottom