Cheating?!

Dr Lizzy

Platinum Member
May 25, 2009
30,694
58,763
Salam wanaMMU!

Naomba niwaulize kitu..

Wote tunajua kila mahusiano hua yanakua na kiasi chake cha ugomvi!Kuna ule ugomvi ambao unamwacha mtu akifikiria kwamba mwisho wetu umefika...unakuta mtu ana hasira kiasi kwamba hawezi kufikiria kwamba bado ataendelea kua na mwenzake!!Katika hali ya kawaida watu kama hao wanaweza kumaliza hata zaidi ya wiki wakiwa na hasira na hata kama wanaongea haitakua katika hali ya maelewano!Sasa kwa kipindi kama hicho mmoja akihusiana sijui niseme kimwili, na mtu mwingine kama wewe ndo patna wake utapenda kujua pindi mambo yakiwa sawa kati yenu???Je nayo itahesabika kama kucheat???
Na je kama utakasirikia...kisingizio cha ''sikujua tutarudiana'' kitasaidia kupunguza hasira yako??
 
Lizzy mama, mi kuna kitu nimejifunza kwa hawa wanaume yani huwa wana cheat vibaya sana!!! Ni wachache sana ambao hawatoki nje ya ndoa, wale waliokamatwa/shikwa na Neema ya Mungu kweli kweli, lkn kwa kawaida tu, huwa wanatoka sana.

Sasa basi kama anatoka mkiwa mna amani, furaha na kicheko, si zaidi pale unapokuwa mmenuniana mwezi/ wiki??? Hayo ya alikuwa hajui..... Ni kizingizio tu.hakipunguzi hasira ila kinweza kuongeza hasira!!!
 
Lizzy mama, mi kuna kitu nimejifunza kwa hawa wanaume yani huwa wana cheat vibaya sana!!! Ni wachache sana ambao hawatoki nje ya ndoa, wale waliokamatwa/shikwa na Neema ya Mungu kweli kweli, lkn kwa kawaida tu, huwa wanatoka sana.

Sasa basi kama anatoka mkiwa mna amani, furaha na kicheko, si zaidi pale unapokuwa mmenuniana mwezi/ wiki??? Hayo ya alikuwa hajui..... Ni kizingizio tu.hakipunguzi hasira ila kinweza kuongeza hasira!!!

Nimekusoma mama!!Kwahiyo hasira zinaongezeka kwasababu mtu anachukulia kama mwenzake alikua anamkomoa au??Maana kama mmegombana mpaka kuambiana kwanzia leo usinijue na juhudi za kukubembeleza zikagonga mwamba KWA MUDA kwanini mtu akasirike baadae??
 
Lizzy mama, mi kuna kitu nimejifunza kwa hawa wanaume yani huwa wana cheat vibaya sana!!! Ni wachache sana ambao hawatoki nje ya ndoa, wale waliokamatwa/shikwa na Neema ya Mungu kweli kweli, lkn kwa kawaida tu, huwa wanatoka sana.

Sasa basi kama anatoka mkiwa mna amani, furaha na kicheko, si zaidi pale unapokuwa mmenuniana mwezi/ wiki??? Hayo ya alikuwa hajui..... Ni kizingizio tu.hakipunguzi hasira ila kinweza kuongeza hasira!!!
MCD... naomba kuuliza

Hivi hawa wanaume huwa wanacheat na sungura au wanawake?
Just believe me, hiyo hukumu unayotoa itabaki na wewe hadi utashangaa

Back to Lizzy... Hakuna justification ya cheating hata iweje, whether hasira au excitement... cha maana ni kuwa tayari kuishi na consequences za mistakes tunazofanya kwenye mapenzi

Nijuavyo mimi, mwanaume anaweza akawa alishakuacha siku nyingi lakini bado akaendelea kuishi na wewe for other reasons (sacrifice), which is the worst case a woman need to experience... na hao ndio wale unaowaona wanacheat consistently, ila anaishi na wewe sababu ya wattoto tu!

Wanasema sisi ndio sisi, all problems in our relationships zinaletwa na couples @ 50% each
 
Inahesabika na nani? Kuna cheating standards?


Na mtu yeyote anaeweza kutokewa na hilo!!!!Kwanini iwe cheating wakati umempa mtu mawazo ya kwamba hampo pamoja tena hata kama ni kwa muda?
 
No one is justifying anything!!!!:focus: Swala ni je inahesabika kama kucheat au la!!

Kuhesabika maana yake ni kwamba...kuna standards, na hizo standards kama kuna issue ya kuhesabika, maana yake unataka kusema kuna kutokuhesabika coz haijaingia kwenydm standards?
 
MCD... naomba kuuliza

Hivi hawa wanaume huwa wanacheat na sungura au wanawake?
Just believe me, hiyo hukumu unayotoa itabaki na wewe hadi utashangaa

Back to Lizzy... Hakuna justification ya cheating hata iweje, whether hasira au excitement... cha maana ni kuwa tayari kuishi na consequences za mistakes tunazofanya kwenye mapenzi

Nijuavyo mimi, mwanaume anaweza akawa alishakuacha siku nyingi lakini bado akaendelea kuishi na wewe for other reasons (sacrifice), which is the worst case a woman need to experience... na hao ndio wale unaowaona wanacheat consistently, ila anaishi na wewe sababu ya wattoto tu!

Wanasema sisi ndio sisi, all problems in our relationships zinaletwa na couples @ 50% each

I agree with but what if it happened during the time when one of you believed that the two of you weren't together anymore?
 
Kuhesabika maana yake ni kwamba...kuna standards, na hizo standards kama kuna issue ya kuhesabika, maana yake unataka kusema kuna kutokuhesabika coz haijaingia kwenydm standards?

There are no standards but there are EXCEPTIONS!!!
 
I agree with but what if it happened during the time when one of you believed that the two of you weren't together anymore?
Hiyo itaonyesha kwamba watu hamkai silence... yani ugomvi wa wiki au mwezi tayari ushabadili plate numbers?

Hiyo lazma itakua kicheche genetically
 
Si umesema kwamba mmegombana mpaka mmoja akaona hakuna kurudiana??? hapo hana cheating ni mtu tu aliamua kuendelea na maisha baada ya kuzinguliwa. mi ndio maana sipendi kununa, unanuna mwenzako anaendelea na maisha kama kawaida
 
Hiyo itaonyesha kwamba watu hamkai silence... yani ugomvi wa wiki au mwezi tayari ushabadili plate numbers?

Hiyo lazma itakua kicheche genetically

Mhhhhh!!!Kwanini mtu akae ndani akilia wakati kuna wengine wanamtaka?
 
Hiyo itaonyesha kwamba watu hamkai silence... yani ugomvi wa wiki au mwezi tayari ushabadili plate numbers?

Hiyo lazma itakua kicheche genetically
Amen, u can say that again ma brother.
Kopo or kopo, or lebel!?
 
Technically, it not CHEATING, How does one cheat on someone who is no longer in a relationship with?
However personally I think if while on the break (Im assuming a short one)that happens, the fact that the patner couldn't keep it in his pants will speak volumes to me!
  • Was our time together that insignificant?
  • Does he really care? If so then why rush into the bed with another?
 
Si umesema kwamba mmegombana mpaka mmoja akaona hakuna kurudiana??? hapo hana cheating ni mtu tu aliamua kuendelea na maisha baada ya kuzinguliwa. mi ndio maana sipendi kununa, unanuna mwenzako anaendelea na maisha kama kawaida

Hapo haswa ndo nnapoongelea!!Kwanini watu wanaona ni kucheat wakati hata kama ni kwa wiki hamkua pamoja!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom