TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
THANSK mcd... MTALAAM WA TWANGA PEPETAMTM naomba unisamehe!!!! Unajua nilikuwa nasinzia bwana!!! Unajua ni kweli wanaume wasio kuwa na hofu ya Mungu wanacheat sana kwa mimi ninavyoona, na wanawake pia wanahusika hapa. Si nia yangu kuwahukumu lakini pia nahisi nilijibu kabla sijaelewa mada inataka nini?