Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Kwahiyo utapita mitaani kutangaza umechapiwa kwamba ndo siyo upumbavu..!!Huo upumbavu
Kwahiyo utapita mitaani kutangaza umechapiwa kwamba ndo siyo upumbavu..!!Huo upumbavu
Ukiachana naye kienyeji, atatafuta haki zake za kumiliki mali, na akifanikiwa, mali zako anaenda kutumbua na wauni wengine.Adhabu yote iyo ni kwakua kakucheat tu??
Si uachane nae sasa hivi, vipi akigundua huo mpango wako na akakudedisha maana hapo ni kuwindana tu.
Atafute aliyejeruhiwa tayariHuyo mchepuko atamkuta yupo single au nae ana x wake
Mwisho muuane kijinga tu aisee.Ukiachana naye kienyeji, atatafuta haki zake za kumiliki mali, na akifanikiwa, mali zako anaenda kutumbua na wauni wengine.
naye yuko na familiaHuyo mchepuko atamkuta yupo single au nae ana x wake
hatari sanaWanawake wote wako hivyo; kwa kifupi miaka yote hiyo 7 alikuwa anamla pamoja na wewe unamla!
ndo naona kinachoenda kutokeaMwisho muuane kijinga tu aisee.
Kila la kheri.
Wadau ukigundua mkeo ulioko naye sasa alikusaliti wakati mkiwa wachumba na ukagundua huyo aliyeku-cheat naye wanaendelea na mawasiliano japokuwa wako mikoa tofauti na wewe mume muko na watoto UTAFANYA MAAMUZI YAPI
pamoja na huyo mkeo kuomba msamaha
asante sana kwa majibu yako mazuri ila kaomba msamaha kweli sana tena ameshika hadi kuruani kuapa kuwa huyo jamaa hata zamani hajatembea naye ila alikuwa anamtaka sana ila waliwasiliana jumbe nyingi za mapenzi ila ameomba msamaha na amesem hatorudia tena kufanya mawasiliano naye na hata mwanaume mwingine yeyote hasa kwenye maswala ya kimapenzi na pia aliamua kubadiliaha na namba zake za simu zoteSwali ni je.. wewe wakati mko wachumba ulikuwa nae tu au walikuwa wawili watatu ukamchagua yeye. Kama walikuwa wengi, jua kabisa hata yeye ni binadamu hivyo inawezekana alikuwa na jamaa zake kabla yako.
Swali lingine, wewe umekata mawasiliano kabisa na wapenzi wako wa zamani, yaani mmekuwa maadui.. mimi sioni shida kama wanawasiliana, labda kama hayo mawasiliano ni ya kimapenzi ndio naweza kukuelewa.
Kama ameomba msamaha kwa kuwa na uhusiano na myu mkiwa wachumba naona hiyo inatosha.
Mwisho wa siku, wewe ndie mwenye maamuzi na una mjua mkeo, lakini je.. wewe unaona ni sawa kuvunja ndoa na mkeo kwakuwa tu alikuwa na mahusiano na mtu wakati hamja oana? Kama unaona ni sawa umwache kwa kosa la zamani.. basi hukuoa mke sahihi kwako au wewe mwenuewe una matatizo.
Kwahiyo umemsamehe?asante sana kwa majibu yako mazuri ila kaomba msamaha kweli sana tena ameshika hadi kuruani kuapa kuwa huyo jamaa hata zamani hajatembea naye ila alikuwa anamtaka sana ila waliwasiliana jumbe nyingi za mapenzi ila ameomba msamaha na amesem hatorudia tena kufanya mawasiliano naye na hata mwanaume mwingine yeyote hasa kwenye maswala ya kimapenzi na pia aliamua kubadiliaha na namba zake za simu zote
Hicho kikao kilihusisha wanaume mabwegeKwenye kikao tulikubaliana kuchapiwa ni siri ya ndani..!!
asante sana kwa majibu yako mazuri ila kaomba msamaha kweli sana tena ameshika hadi kuruani kuapa kuwa huyo jamaa hata zamani hajatembea naye ila alikuwa anamtaka sana ila waliwasiliana jumbe nyingi za mapenzi ila ameomba msamaha na amesem hatorudia tena kufanya mawasiliano naye na hata mwanaume mwingine yeyote hasa kwenye maswala ya kimapenzi na pia aliamua kubadiliaha na namba zake za simu zote
[/QUOTE
Wewe bado mtoto
Unaweza ukawa bwege na huku hujui..!!Hicho kikao kilihusisha wanaume mabwege
Na ndio ilivyoKwenye kikao tulikubaliana kuchapiwa ni siri ya ndani..!!
Uliyemtoa bikra ndo uliyemuoa? Tuanzie hapa kwanza.Sometime wanaodai tuoe bikra wana hoja ya msingi
Ndo naishi naeUliyemtoa bikra ndo uliyemuoa? Tuanzie hapa kwanza.
Na wale walionyofoa bikra zaidi ya tano, unawaambiaje?
HahahaWadau ukigundua mkeo ulioko naye sasa alikusaliti wakati mkiwa wachumba na ukagundua huyo aliyeku-cheat naye wanaendelea na mawasiliano japokuwa wako mikoa tofauti na wewe mume muko na watoto UTAFANYA MAAMUZI YAPI
pamoja na huyo mkeo kuomba msamaha