Cheap android phones unazoweza kununua

Cheap android phones unazoweza kununua

Chief-Mkwawa

Platinum Member
Joined
May 25, 2011
Posts
32,068
Reaction score
43,510
Kwa jamii yetu ya kitanzania uelewa wa android umekua mdogo sana na siku zote watu wanafikiria simu hizi ni za bei ghali nimeandika makala hii ya kuzichambua simu za android za bei rahisi.

Pia jamii yetu bado haijazipokea simu za touch screen ikiwemo mimi (msinione mshamba) kwa hiyo ntaanza kuelezea simu za android za bei rahisi zenye button(qwerty).

motorolla fire xt311
motorola-fire-dual-chip.jpg

perfomance: ram 256mb processor 600mhz
picha na video: camera 3.15 megapixel na secondary camera haina video inachukua 480p
special inaingia line 2
makadirio ya bei: kuanzia 180,000 mpaka 250,000

LG Optimus Pro C660
lg-optimus-pro.jpg

perfomance: storage 150 ram 256 processor 800 mhz
picha na video: camera ni 3.15 mp secondary camera hamna na video 480p
makadirio ya bei: ni 200,000 mpaka 300,000

samsung galaxy pro series
Hapa nimezigroup samsung nyngi kama
-Samsung Galaxy M Pro B7800
-Samsung Galaxy Y Pro B5510
-Samsung Galaxy Pro B7510
samsung-galaxy-y-pro-b5510.jpg

Ni simu ambazo zinakaribia kufanana na hizo hapo juu kasoro m pro ipo advanced kidogo bei zinarange 200,000 mpaka laki 3.

Baada ya kutoka preference yangu ya qwerty sasa tuje kwa wazee wa kugusa na kuslide (touch screen phones) wao pia wana cheap devices kama zifuatazo.

htc explorer (pico)
htc-explorer-ofic.jpg

perfomance:storage 90mb ram 512mb na processor 600mhz
picha na video: 3.15 megapixel haina secondary camera video ni 480p
makadirio ya bei: 200,000 mpaka 250,000

lg optimus net
lg-optimus-net.jpg

perfomance:storage 150mb ram 512mb na processor 800mhz
picha na video:3.15 megapixel no secondary video 480
makadirio ya bei: 200,000 hadi 300,000

samsung galaxy vidogo
samsung-galaxy-fit-s5670.jpg

Hapa najumuisha simu zifuatazo
-Samsung Galaxy Y Pro Duos
-Samsung Galaxy Fit S5670
Hio duo ni double line zote zinafanania na wenzao juu ila galaxy fit ina 5mp
Bei pia zinafanania

muhimu
-storage ni memory ya simu unaweza expand memory kwa kutumia memory card hadi 32gb
-simu zote hapo juu ni android Gingerbread 2.3 na kama ni froyo utaweza i upgrade
-naweza kua nimekosea sehemu nirekebishe ili niweze ku update thread
 
Thanks for your useful post, i even looking Android OS mobile phone
 
Tatizo wafanyabiashara wa Tanzania wanapenda super normal profit wanapenda ku upgrade price, kusema kweli vitu vya technology kama simu, tablet, ps3 na vinginevyo ni bei reasonable kweli nchi za watu hata uki google price zake kila mtu ana afford tatizo hadi uzifate huko dunian asia, europe and america kwenyewe ndo utapata kwa bai nzuri as unanua kwenye manufactures stores eg sony store, samsung shops etc, maana hapa bongo zikija bei wanauza za juu as wanajua hatujui market price ikoje ukikomaa sana wanadai kodi na gharama za usafirishaj ni kubwa kumbe uongo mtupu, ni ufisad tu wa wenye maduka
 
Nami sijaelewa kidogo mkuu hapa nijuze....kwani Android ni nini?? Maana mimi nilikuwa na cm kabia imeandikwa Android, sasa ukiniambia kuna simu za android alafu unanitajia samsung, LG n.k nashindwa kukusoma....ufafanuzi tafadhali
 
Nami sijaelewa kidogo mkuu hapa nijuze....kwani Android ni nini?? Maana mimi nilikuwa na cm kabia imeandikwa Android, sasa ukiniambia kuna simu za android alafu unanitajia samsung, LG n.k nashindwa kukusoma....ufafanuzi tafadhali

Android ni operating system ya simu na tablets. imetengenezwa na Google na hutumiwa na kampuni nyingi za simu ikiwemo Samsung, Sony, Lg na HTC
 
Nami sijaelewa kidogo mkuu hapa nijuze....kwani Android ni nini?? Maana mimi nilikuwa na cm kabia imeandikwa Android, sasa ukiniambia kuna simu za android alafu unanitajia samsung, LG n.k nashindwa kukusoma....ufafanuzi tafadhali

Kwenye ulimwengu wa sasa simu zinatumia operating system kama vile ilivyo computer.

Android ni operating system (mfano kama computer window). Hii android ni ya simu na inatumiwa na makampun mbali mbali ya simu kama samsung, motorola, lg, sony ericson, micromax, huawei, ideos .

Ni operating system dada wa linux wote wakitengenezwa na google inc

Pia android inatumiwa na tablets.

Tofauti na zamani software ya nokia ukieka kwenye samsung inakataa, sasa hivi kua na operating system (os) moja na simu nyingi inazotumia hio os kunarahisisha kazi. Hapo ina maana sababu simu zote hapo juu zinatumia android kama kutakua na game la android au software flan itaingia simu zote haijalishi ni samsung wala lg
 
Tatizo wafanyabiashara wa Tanzania wanapenda super normal profit wanapenda ku upgrade price, kusema kweli vitu vya technology kama simu, tablet, ps3 na vinginevyo ni bei reasonable kweli nchi za watu hata uki google price zake kila mtu ana afford tatizo hadi uzifate huko dunian asia, europe and america kwenyewe ndo utapata kwa bai nzuri as unanua kwenye manufactures stores eg sony store, samsung shops etc, maana hapa bongo zikija bei wanauza za juu as wanajua hatujui market price ikoje ukikomaa sana wanadai kodi na gharama za usafirishaj ni kubwa kumbe uongo mtupu, ni ufisad tu wa wenye maduka

Mitandao ya simu imefikia wakati sasa waanze kuuza simu za mikataba. Sasa hivi watanzania wengi wapo aware na simu na wanatamani wawe nazo tatizo hawana hela ya kwa pamoja ya kununua.

Nakubaliana na wewe simu zinauzwa bei ghali na hizo price nlizoweka ni za kugoogle nimeeka tu mtu awe aware ili akitajiwa bei ajue kua ni over price au ni sawa
 
Kwenye ulimwengu wa sasa simu zinatumia operating system kama vile ilivyo computer.

Android ni operating system (mfano kama computer window). Hii android ni ya simu na inatumiwa na makampun mbali mbali ya simu kama samsung, motorola, lg, sony ericson, micromax, huawei, ideos .

Ni operating system dada wa linux wote wakitengenezwa na google inc

Pia android inatumiwa na tablets.

Tofauti na zamani software ya nokia ukieka kwenye samsung inakataa, sasa hivi kua na operating system (os) moja na simu nyingi inazotumia hio os kunarahisisha kazi. Hapo ina maana sababu simu zote hapo juu zinatumia android kama kutakua na game la android au software flan itaingia simu zote haijalishi ni samsung wala lg

Kwa hyo kama kuna Game kwenye LG unaweza ukamrushia m2 mwenye Samsung (via bluetooth) na likaenda na akacheza bila tatzo?
 
Mitandao ya simu imefikia wakati sasa waanze kuuza simu za mikataba. Sasa hivi watanzania wengi wapo aware na simu na wanatamani wawe nazo tatizo hawana hela ya kwa pamoja ya kununua.

Nakubaliana na wewe simu zinauzwa bei ghali na hizo price nlizoweka ni za kugoogle nimeeka tu mtu awe aware ili akitajiwa bei ajue kua ni over price au ni sawa
Nimewahi kuwaandikia Vodacom ya Tanzania kuhusu ushauri huo. Siju ni kitu gani kinachowazuwia wasitoe simu bure kwa wateja (kwa simu tuseme yenye thamani ya laki 3), lakini wakawawekea kima cha chini cha matumizi yao ya mwezi, tuseme shs. 20,000 kwa muda wa miezi 18. (watapata shs 360,000 na pengine zaidi ikiwa mteja atatumia zaidi ya 20 elfu kwa mwezi).
 
Nimewahi kuwaandikia Vodacom ya Tanzania kuhusu ushauri huo. Siju ni kitu gani kinachowazuwia wasitoe simu bure kwa wateja (kwa simu tuseme yenye thamani ya laki 3), lakini wakawawekea kima cha chini cha matumizi yao ya mwezi, tuseme shs. 20,000 kwa muda wa miezi 18. (watapata shs 360,000 na pengine zaidi ikiwa mteja atatumia zaidi ya 20 elfu kwa mwezi).

Zaman walikua nayo hio huduma nakumbuka nokia 6070 post paid ilikua sh 24,000 wanakupa sms na dk 100 kwa mwezi. Ila sasa hv wameacha kabisaa
 
Nami sijaelewa kidogo mkuu hapa nijuze....kwani Android ni nini?? Maana mimi nilikuwa na cm kabia imeandikwa Android, sasa ukiniambia kuna simu za android alafu unanitajia samsung, LG n.k nashindwa kukusoma....ufafanuzi tafadhali

Androids ni operating system. Kama ilivyo kwa symbian, ios, mac windows, palm, blackbery. Ubuntu. Ila ubuntu, mac sana n kwenye pc. Ila windows ipo kwenye cmu na pc pia.....
 
Kwa jamii yetu ya kitanzania uelewa wa android umekua mdogo sana na siku zote watu wanafikiria simu hizi ni za bei ghali nimeandika makala hii ya kuzichambua simu za android za bei rahisi.

Pia jamii yetu bado haijazipokea simu za touch screen ikiwemo mimi (msinione mshamba) kwa hiyo ntaanza kuelezea simu za android za bei rahisi zenye button(qwerty).

motorolla fire xt311
motorola-fire-dual-chip.jpg

perfomance: ram 256mb processor 600mhz
picha na video: camera 3.15 megapixel na secondary camera haina video inachukua 480p
special inaingia line 2
makadirio ya bei: kuanzia 180,000 mpaka 250,000

LG Optimus Pro C660
lg-optimus-pro.jpg

perfomance: storage 150 ram 256 processor 800 mhz
picha na video: camera ni 3.15 mp secondary camera hamna na video 480p
makadirio ya bei: ni 200,000 mpaka 300,000

samsung galaxy pro series
Hapa nimezigroup samsung nyngi kama
-Samsung Galaxy M Pro B7800
-Samsung Galaxy Y Pro B5510
-Samsung Galaxy Pro B7510
samsung-galaxy-y-pro-b5510.jpg

Ni simu ambazo zinakaribia kufanana na hizo hapo juu kasoro m pro ipo advanced kidogo bei zinarange 200,000 mpaka laki 3.

Baada ya kutoka preference yangu ya qwerty sasa tuje kwa wazee wa kugusa na kuslide (touch screen phones) wao pia wana cheap devices kama zifuatazo.

htc explorer (pico)
htc-explorer-ofic.jpg

perfomance:storage 90mb ram 512mb na processor 600mhz
picha na video: 3.15 megapixel haina secondary camera video ni 480p
makadirio ya bei: 200,000 mpaka 250,000

lg optimus net
lg-optimus-net.jpg

perfomance:storage 150mb ram 512mb na processor 800mhz
picha na video:3.15 megapixel no secondary video 480
makadirio ya bei: 200,000 hadi 300,000

samsung galaxy vidogo
samsung-galaxy-fit-s5670.jpg

Hapa najumuisha simu zifuatazo
-Samsung Galaxy Y Pro Duos
-Samsung Galaxy Fit S5670
Hio duo ni double line zote zinafanania na wenzao juu ila galaxy fit ina 5mp
Bei pia zinafanania

muhimu
-storage ni memory ya simu unaweza expand memory kwa kutumia memory card hadi 32gb
-simu zote hapo juu ni android Gingerbread 2.3 na kama ni froyo utaweza i upgrade
-naweza kua nimekosea sehemu nirekebishe ili niweze ku update thread
That's great!
Lakini kuna Huawei Ideos U8150 Froyo 2.2, Ideos Y100 Gingerbread 2.3, Galaxy Pocket Gingerbread 2.3 zote ni Tshs 150,000. Ni kali ile mbaya. tembelea www.gsmarena.com kwa phone reviews Za ukweli.
 
Kwa jamii yetu ya kitanzania uelewa wa android umekua mdogo sana na siku zote watu wanafikiria simu hizi ni za bei ghali nimeandika makala hii ya kuzichambua simu za android za bei rahisi.Pia jamii yetu bado haijazipokea simu za touch screen ikiwemo mimi (msinione mshamba) kwa hiyo ntaanza kuelezea simu za android za bei rahisi zenye button(qwerty).motorolla fire xt311
motorola-fire-dual-chip.jpg
perfomance: ram 256mb processor 600mhz picha na video: camera 3.15 megapixel na secondary camera haina video inachukua 480pspecial inaingia line 2makadirio ya bei: kuanzia 180,000 mpaka 250,000LG Optimus Pro C660
lg-optimus-pro.jpg
perfomance: storage 150 ram 256 processor 800 mhzpicha na video: camera ni 3.15 mp secondary camera hamna na video 480p makadirio ya bei: ni 200,000 mpaka 300,000samsung galaxy pro series Hapa nimezigroup samsung nyngi kama-Samsung Galaxy M Pro B7800-Samsung Galaxy Y Pro B5510-Samsung Galaxy Pro B7510
samsung-galaxy-y-pro-b5510.jpg
Ni simu ambazo zinakaribia kufanana na hizo hapo juu kasoro m pro ipo advanced kidogo bei zinarange 200,000 mpaka laki 3.Baada ya kutoka preference yangu ya qwerty sasa tuje kwa wazee wa kugusa na kuslide (touch screen phones) wao pia wana cheap devices kama zifuatazo. htc explorer (pico)
htc-explorer-ofic.jpg
perfomance:storage 90mb ram 512mb na processor 600mhzpicha na video: 3.15 megapixel haina secondary camera video ni 480pmakadirio ya bei: 200,000 mpaka 250,000lg optimus net
lg-optimus-net.jpg
perfomance:storage 150mb ram 512mb na processor 800mhzpicha na video:3.15 megapixel no secondary video 480makadirio ya bei: 200,000 hadi 300,000samsung galaxy vidogo
samsung-galaxy-fit-s5670.jpg
Hapa najumuisha simu zifuatazo-Samsung Galaxy Y Pro Duos-Samsung Galaxy Fit S5670Hio duo ni double line zote zinafanania na wenzao juu ila galaxy fit ina 5mp Bei pia zinafananiamuhimu-storage ni memory ya simu unaweza expand memory kwa kutumia memory card hadi 32gb-simu zote hapo juu ni android Gingerbread 2.3 na kama ni froyo utaweza i upgrade-naweza kua nimekosea sehemu nirekebishe ili niweze ku update thread
Kwanini unasisitiza simu ambazo OS yake ni android. Mbona ume exclude iphone na zingine zisizo za android?
 
Zaman walikua nayo hio huduma nakumbuka nokia 6070 post paid ilikua sh 24,000 wanakupa sms na dk 100 kwa mwezi. Ila sasa hv wameacha kabisaa
Sasa ushindani wa biashara za sasa hautaki hivyo.
Mswahili ukimwambia tu simu fulani ya touch screen ni bure, wala haangalii nyuma anafunga mkataba.
 
Kwanini unasisitiza simu ambazo OS yake ni android. Mbona ume exclude iphone na zingine zisizo za android?

Kama ni iphone hamna ya bei rahisi kaka yani iphone 3 ndio rahisi na specification ya kisasa lakini urahisi wake ukienda dukan still zinaanzia laki 3.

Kuhusu os nyengine kama ni nokia nina post zaidi ya 10 za nokia na kuhusu bb za bei za chini zote hazina 3g
 
Kama ni iphone hamna ya bei rahisi kaka yani iphone 3 ndio rahisi na specification ya kisasa lakini urahisi wake ukienda dukan still zinaanzia laki 3.Kuhusu os nyengine kama ni nokia nina post zaidi ya 10 za nokia na kuhusu bb za bei za chini zote hazina 3g
Naomba hizo link kaka nipitie pitie nijifunze maana inaonekana una uzoefu katika mobile phone!Ni ukweli kabisa iphone wanauza ghali sana. Swali langu ni je, ni simu gani ambayo ina specs zinazofanana fanana na Iphone 4s ya 16gb? Na hiyo simu nimkama bei gani kwa Dar?
 
Back
Top Bottom