Kwa sasa chadema hakina idadi ya wanachama inayotakiwa kuwa nayo kwa kila mkoa ili kutambulike kama chama halali.
Namshauri msajili wa vyama vya siasa aanzishe mchakato wa kukifutia usajili.
Muda si mrefu, Lissu na genge lake mtakuwa nao kijiweni.
Ukijua hili sisi tunajua lile.