GE2025 CHAUMMA walivyoshuka na chopa Tanga

GE2025 CHAUMMA walivyoshuka na chopa Tanga

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimesema kipo tayari kushiriki uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu na kitasimamisha wagombea wa ubunge na udiwani

Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Taifa Salum Mwalimu mkoani Tanga kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la shule ya msingi Mwakizaro na kusema kuwa hawawezi kususia uchaguzi mkuu

Soma Pia:


 
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimesema kipo tayari kushiriki uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu na kitasimamisha wagombea wa ubunge na udiwani

Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Taifa Salum Mwalimu mkoani Tanga kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la shule ya msingi Mwakizaro na kusema kuwa hawawezi kususia uchaguzi mkuu

Soma Pia:


Wangeshuka na Mbingu tungejiuliza Chaumwa ni nani.
 
Back
Top Bottom