kwani chadema ilikua wapi wakati CUF na NCCR MAGEUZI wako pale juu?🐒Yawezekana walikuwa sahihi lakini kinachoamua uinuke au usiinuke Mara nyingi ni timing.
Hakuna chama chochote kinachoweza kukua kufika Chadema au at least sisiemu .
Hawa jamaa wefanikiwa kuwa na zile grassroots they can't mess up.
Hata sisiemu bila wasanii hupata watu Ila bila wasanii hupata maudhurio machache
Chadema is there to stay.
Akina Mrema na Kigaila walidanganywa kwamba Wenje anahama na wanachama wengi sana kanda ya ziwa.Waswahel wanasema.. Nyotq njema huonekana alfajri.. Na wazungu wanasemq first impression last conclusion..
Matendo hukidhi haja maridhawa kuliko maneno.. Kwakuwa yeyote anaweza kuongea chochote kwa majigambo yote. Lakini akashindwa kabisa kwenye matendo na vitendo
Hivi ndivyo tunavyoweza kuthibitisha kwenye chama cha siasa cha CHAUMMA.. pamoja na majigambo mengi mikutano yake miwili ya kutambulisha viongozi pale Ubungo plaza na ule wa hadhara uliofanyika Mwanza imefeli big time!
Project CHAUMMA ililenga kukipasua na kukidhoofisha chama tishio cha CHADEMA.. Lakini waandaji na wafadhili wa hii project walisahau CHADEMA SIO NCCR MAGEUZI kwa TLP wala sio CUF kwa ACT- WAZALENDO.. Vyama ambavyo vilikuja kumalizwa kizembe na mfumo unaokilinda chama cha mapinduzi
Naweza kusema pamoja na mahitaji ya nyakati na uelewa wa wananchi kuongezeka lakini walioandaa project za NCCR-TLP na CUF- ACT walikuwa kidogo werevu maana waliweza kutumia key figures Ku is am bar at is ha
Yaani ni sawa na mzazi kumlea mtoto kwa taabu na mateso mengi kisha umkatae au umfanyie figisu asifanikiwe
Mfumo unaokilinda chama cha mapinduzi ulinia kutumia uchaguzi ndani ya CHADEMA kukipasua.. Ikashindikana.. Ndio wakaja na plan B ya CHAUMMA.. kwa bahati mbaya sana "wali pick wrong figures"
Kwa kosa hilo kubwa kwa sasa chaumma ni mwendo wa maumivu .. Yaani kimeshajibemenda hata kabla ya kwanza kutambaa.
Igweeee...!!!!
I can't urge with you niggakwani chadema ilikua wapi wakati CUF na NCCR MAGEUZI wako pale juu?🐒
take that point as reference to argue with others JF stakeholders.I can't urge with you nigga
Reasonable doubttake that point as reference to argue with others JF stakeholders.
It's very important to have political parties growth records before coming up with unreasonable conclusions 🐒
Gentleman,Reasonable doubt
All I know uli join sisiem because you never had better option
(Surviving career)
Badala ya kumshauri Lissu nyie mnamshauri Mbowe. Akijitokeza halafu Lissu akamtolea nje?Washauri wake wakuu kina Lusungo Fundi Mchundo Ngongo Stuxnet hawapikiki chungu kimoja na Lissu....hivyo hawawezi kumshauri hili.
Huku no Reforms No Elections kule gwajima 😁😁😁😁 mwaka huu mzanzibari asipopata kichaa nahama TanzaniaNaona sasa CHADEMA mmeanza kushindana na CHAUMMA. Kwa hakika mmepoteza Dira na muelekeo kabisa.
Japo mimi siyo mshauri wake kama unavyodai lakini Mbowe yuko mbele ya CHADEMA.Washauri wake wakuu kina Lusungo Fundi Mchundo Ngongo Stuxnet hawapikiki chungu kimoja na Lissu....hivyo hawawezi kumshauri hili.
Mkuu sio swala la uchama,huu ulioongea ndio ukweli kabisa!Utafiti haukufanyika kwa umakini kujua udhaifu na nguvu ya chadema, hivyo njia zinazotumika kuiua chadema ni za kizamani. Kila kitu kinakwenda na wakati. Chadema ime survive almost 10 years kama chama kikuu cha upinzani kina mizizi huku chini na udhaifu wa ccm ndiyo nguvu ya chadema kwa sasa. kinapendwa na wananchi kwa misimamo yake na mataifa ya nje. Mbowe amesaidia sana kukiimarisha kwa uchaguzi wenye credibility jan 21. kwa sasa it is too late kukidhoofisha. Hata kama kitashindwa kuwa chama kikuu cha upinzani na akawa ACT au CHAUMMA kiufundi na kimagumashi, Chadema kitaendelea na title ya kuwa chama KIKUBWA nchini nyuma ya CCM.Mimi siyo mwana chadema au CCM ila haya ni maoni yangu huru.
Mshana Jr utatunyima uhondo siku zote habari zako huwa na vielelezo kuwasaidia wasiojua kusoma na kuandika vipi waionea aibu hii ya Mwanza?Waswahel wanasema.. Nyotq njema huonekana alfajri.. Na wazungu wanasemq first impression last conclusion..
Matendo hukidhi haja maridhawa kuliko maneno.. Kwakuwa yeyote anaweza kuongea chochote kwa majigambo yote. Lakini akashindwa kabisa kwenye matendo na vitendo
Hivi ndivyo tunavyoweza kuthibitisha kwenye chama cha siasa cha CHAUMMA.. pamoja na majigambo mengi mikutano yake miwili ya kutambulisha viongozi pale Ubungo plaza na ule wa hadhara uliofanyika Mwanza imefeli big time!
Project CHAUMMA ililenga kukipasua na kukidhoofisha chama tishio cha CHADEMA.. Lakini waandaji na wafadhili wa hii project walisahau CHADEMA SIO NCCR MAGEUZI kwa TLP wala sio CUF kwa ACT- WAZALENDO.. Vyama ambavyo vilikuja kumalizwa kizembe na mfumo unaokilinda chama cha mapinduzi
Naweza kusema pamoja na mahitaji ya nyakati na uelewa wa wananchi kuongezeka lakini walioandaa project za NCCR-TLP na CUF- ACT walikuwa kidogo werevu maana waliweza kutumia key figures Ku is am bar at is ha
Yaani ni sawa na mzazi kumlea mtoto kwa taabu na mateso mengi kisha umkatae au umfanyie figisu asifanikiwe
Mfumo unaokilinda chama cha mapinduzi ulinia kutumia uchaguzi ndani ya CHADEMA kukipasua.. Ikashindikana.. Ndio wakaja na plan B ya CHAUMMA.. kwa bahati mbaya sana "wali pick wrong figures"
Kwa kosa hilo kubwa kwa sasa chaumma ni mwendo wa maumivu .. Yaani kimeshajibemenda hata kabla ya kwanza kutambaa.
Igweeee...!!!!
Waliahidi ubwabwa kwa wote siyo sarakasiChaummwa jana walivuna aibu hapa Mwanza