Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,705
- 5,316
Hongereni sana wakazi wa Mwanza.Wameanza na kuwatumia wasanii na bodaboda ili kuvutia watu lakini ndiyo hivyo sisi Wasukuma hatudanganyiki kiboya niliona ng'ombe tu ndiyo walikuja kuangalia vituko
Hongereni sana wakazi wa Mwanza.Wameanza na kuwatumia wasanii na bodaboda ili kuvutia watu lakini ndiyo hivyo sisi Wasukuma hatudanganyiki kiboya niliona ng'ombe tu ndiyo walikuja kuangalia vituko
Washauri wake wakuu kina Lusungo Fundi Mchundo Ngongo Stuxnet hawapikiki chungu kimoja na Lissu....hivyo hawawezi kumshauri hili.Mbowe, healing has to take place now, please. Njoo ujenge chadema kama ulivyoifikisha hapa ilipo!
kwanini kwenye kikao cha kamati kuu ya chadema agenda kuu ilikua CHAUMA ?🐒CDM ina mambo yake mengi ya kujadili namna ya kukabidiliana na ubedhuli wa ccm hatuna muda na hicho kinyago chenu mlicho kichonga.
mlivyokuwa mnamttukana mzee wa watu aje kufanya nini subirini mhaini wenu akitoka mwakani ataendelea alipoishiaMbowe, healing has to take place now, please. Njoo ujenge chadema kama ulivyoifikisha hapa ilipo!
mtahenya sana mwaka huu chadomo mpaka yule mhaini wenu atakapo toka mwakani uchaguzi ushaisha awakimbie aende zake kwa mewake mtahenyaWapi umesikia kwenye mikutano ya Chadema wanaitaja Chaummwa? Chadema iko bize kutoa elimu kwa wananchi na wengi kwa maelfu wanaikubali hoja ya No Reforms No Election na ndiyo maana wanaichangia. Taahira kama wewe ambaye umejaza kinyesi kwenye hilo fuvu lako huwezi kelewa unachoweza ni kumsifaia yule subiani mnyinya damu za Watanganyika tu na labda kwenda chooni.
Kwa sasa ccm inapambana na gwajima wakati chadema inawanyoosha ccm A, B na C yaani Jimama, Ubwabwa na ZittoNaona sasa CHADEMA mmeanza kushindana na CHAUMMA. Kwa hakika mmepoteza Dira na muelekeo kabisa.
Umeongea kinyume,CHAUMA ndie anashindana CHADEMANaona sasa CHADEMA mmeanza kushindana na CHAUMMA. Kwa hakika mmepoteza Dira na muelekeo kabisa.
ulikuwepo kama nani wewe?kwanini kwenye kikao cha kamati kuu ya chadema agenda kuu ilikua CHAUMA ?🐒
Wewe jamaa heri ungechagua kufa tu,maana hata viongozi wako wamekuona ni kichaaNaona sasa CHADEMA mmeanza kushindana na CHAUMMA. Kwa hakika mmepoteza Dira na muelekeo kabisa.
nakosekanaje kuinjoy uropokaji wa heche gentleman?🐒ulikuwepo kama nani wewe?