CHAUMMA chaumia Mwanza

CHAUMMA chaumia Mwanza

CDM ina mambo yake mengi ya kujadili namna ya kukabidiliana na ubedhuli wa ccm hatuna muda na hicho kinyago chenu mlicho kichonga.
kwanini kwenye kikao cha kamati kuu ya chadema agenda kuu ilikua CHAUMA ?🐒
 
Mbowe, healing has to take place now, please. Njoo ujenge chadema kama ulivyoifikisha hapa ilipo!
mlivyokuwa mnamttukana mzee wa watu aje kufanya nini subirini mhaini wenu akitoka mwakani ataendelea alipoishia
 
Wapi umesikia kwenye mikutano ya Chadema wanaitaja Chaummwa? Chadema iko bize kutoa elimu kwa wananchi na wengi kwa maelfu wanaikubali hoja ya No Reforms No Election na ndiyo maana wanaichangia. Taahira kama wewe ambaye umejaza kinyesi kwenye hilo fuvu lako huwezi kelewa unachoweza ni kumsifaia yule subiani mnyinya damu za Watanganyika tu na labda kwenda chooni.
mtahenya sana mwaka huu chadomo mpaka yule mhaini wenu atakapo toka mwakani uchaguzi ushaisha awakimbie aende zake kwa mewake mtahenya
 
Ccm wanatumia pesa za umma kudhoofisha upinzani halali japo bila mafanikio yoyote na kuna kila dalili kwamba ccm inaelekea mwisho wa uhai wake.

Mwaka kesho wakati kama huu sidhani kama hicho chama kutakuwepo, naomba mninukuu vizuri hapo.
 
Back
Top Bottom