Mwongo.Katika maeneo ya kongowe kijiji cha kipara mpakani chatu kashindwa kutembea kwa sababu kameza kenge pamoja na kopo la rangi la Lita nne njaa mpaka yoka
we mzee unajielewa kweli?????
HahahhahahahaahhahahahahaMmepakataka tu hakuna lolote, huyo kenge na kopo mbona sivioni.
Kazi kubebana tu.






Namuona huyo jamaa aliyepakatwa 😛😛
Huyu kiumbe ana chekesha sana chatu yuko flat kabisaMbona chatu anaonekana hakuna alichomeza?
Na yule mwanaume aliebebwa jamaniHuyu kiumbe ana chekesha sana chatu yuko flat kabisa









Wakianza kupondea wanaume wa dar huwezi jua kama na wao wanapakatwaNa yule mwanaume aliebebwa jamani![]()
alitaka tuone mpakatano wa vijana wa daslam😀😀Mbona chatu anaonekana hakuna alichomeza?
Wakianza kupondea wanaume wa dar huwezi jua kama na wao wanapakatwa











wallah nimecheka
alitaka tuone mpakatano wa vijana wa daslam😀😀






ati chatu kameza kopo la rangi la lita nne au me sikuelewa na huyo kenge yuko kama mjusi nini?



Kunamdau kaandika we mzee unajielewa kweli? Yani nimecheka had machoziHuyo aliyepakatwa akigusa tu Ubungo hana Marinda...atafutiliwa mbaliwallah nimecheka
Wanaume wa dar wanapakatwa hahhahahaha na chatu kafa kupakatana huko kwa nini sasa
Mamiii, upoHahahhahahahaahhahahahaha![]()
Hahahahah, itabidi ucheke tu mkuu kupunguza maumivu ya sizonje 😀😀😀ati chatu kameza kopo la rangi la lita nne au me sikuelewa na huyo kenge yuko kama mjusi nini?
Kunamdau kaandika we mzee unajielewa kweli? Yani nimecheka had machozi
Halafu na mtoa mada akafotoHuyo aliyepakatwa akigusa tu Ubungo hana Marinda...atafutiliwa mbali








me ningetafta angle nyingine ya kufotoa maana ningeona aibu