andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 19,021
- 120,488
Kwa jinsi alivyo tulia anaonekana ni mzoefu wa kuchezea chezea chatu wa mwenzieJamani pengine muoga wa chatu hahahhahaha
Kwa jinsi alivyo tulia anaonekana ni mzoefu wa kuchezea chezea chatu wa mwenzieJamani pengine muoga wa chatu hahahhahaha
Kwa jinsi alivyo tulia anaonekana ni mzoefu wa kuchezea chezea chatu wa mwenzie










Jamani msinichekeshe
Uko sahihiMungu atafanya wepesi mambo yatakua sawa inshallah hakuna jambo linalodumu milele
Sometimes tuishi na matumaini tuUko sahihi
Weka pichaKatika maeneo ya kongowe kijiji cha kipara mpakani chatu kashindwa kutembea kwa sababu kameza kenge pamoja na kopo la rangi la Lita nne njaa mpaka yoka
Mbona huyo chatu yeye ndiye anayemezwa na kenge
Mmemnyonga tu bure, kawakosea nini?
UKITAKA KUONA VIDEO NENDAKatika maeneo ya kongowe kijiji cha kipara mpakani chatu kashindwa kutembea kwa sababu kameza kenge pamoja na kopo la rangi la Lita nne njaa mpaka yoka
Huyo mwanaume wa pwani sio dar.wallah nimecheka
Wanaume wa dar wanapakatwa hahhahahaha na chatu kafa kupakatana huko kwa nini sasa
Love, ni mwanaume wa darHuyo mwanaume wa pwani sio dar.
Soma thread vizuri halafu utaona loveLove, ni mwanaume wa dar
Kumbe huyu chatu ni chambo tu wa kutangazia biashara yao.Lengo sio chatu bali kutuonesha tabia za mtaani kwao
Imebidi nicheke tu love lakini wanaume wa dar ndio zao love🙄🙄🙄Soma thread vizuri halafu utaona love