Yaaani nashukuru nimengeza siku za kuishi mkuuHahahahah, itabidi ucheke tu mkuu kupunguza maumivu ya sizonje 😀😀😀
Jamani I miss u more me nipo nazunguka zunguka kama hiviNjema mpendwa, nimekumiss sana ujue!
Halafu na mtoa mada akafotome ningetafta angle nyingine ya kufotoa maana ningeona aibu
Mpakataji kashika kabisa Marinda....Mpakatwaji katulia tu kimya
Wanaume wa hivi ni ANT- LADIES.Kwanza hiyo picha haina uhusianoMmepakatana tu hakuna lolote, huyo kenge na kopo mbona sivioni.
Kazi kubebana tu.
Lengo sio chatu bali kutuonesha tabia za mtaani kwaoHalafu na mtoa mada akafotome ningetafta angle nyingine ya kufotoa maana ningeona aibu
Hebu njoo chumbani kidogo kuna mzigo wakoJamani I miss u more me nipo nazunguka zunguka kama hivi
Jamani pengine muoga wa chatu hahahhahaha![]()
![]()
![]()
Mpakataji kashika kabisa Marinda....Mpakatwaji katulia tu kimya
![]()
![]()
Wanaume wa hivi ni ANT- LADIES.
Lengo sio chatu bali kutuonesha tabia za mtaani kwao






sio kwa mbebano ule wallahIko wapi picha halisi sasaKwanza hiyo picha haina uhusiano
Oh oh chumbani tena huko mhhhhhhhHebu njoo chumbani kidogo kuna mzigo wako
Lengo sio chatu bali kutuonesha tabia za mtaani kwao
Sijui ni mkoa gani huo
Kongowe ya pwani labda![]()
![]()
![]()
Sijui ni mkoa gani huo
Akikutumia na mimi nambie nione chatu akimeza kenge na hilo kopo anavyokuwaIko wapi picha halisi sasa
Zama za magu hadi mifugo itakula udongoAkikutumia na mimi nambie nione chatu akimeza kenge na hilo kopo anavyokuwa
Hahahah ndio ile simba akikosa nyama atakula hadi nyasi?Zama za magu hadi mifugo itakula udongo
Acha kabisa, tena hataki kupangiwa, amekuwa boss lkn wakati anaomba kura alipiga hadi push up za kuombs kuraHahahah ndio ile simba akikosa nyama atakula hadi nyasi?
Mungu atafanya wepesi mambo yatakua sawa inshallah hakuna jambo linalodumu mileleAcha kabisa, tena hataki kupangiwa, amekuwa boss lkn wakati anaomba kura alipiga hadi push up za kuombs kura