MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Wengine hatuna hiyo chato tv hebu tuelezee
Na wewe unauliza hili au mwingine ?!saa 24 inamtangaza yeye tu?
Ndio nasema hizo sifa mnazompa si za kweli,mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa!!Naye mmeshamjua anapenda misifa basi nanyi ndio mnamjaza ujinga!Eti wakongo hawasikilizi tena mziki bali hotuba za JPM,mweh mweh mweh hata mimi siwezi kukubali kusifiwa kinafiki namna hii!
angalia niliyemuulizaNa wewe unauliza hili au mwingine ?!
Hakuna mtu mwenye king'amuzi kinacho onyesha tbcKaribu TBC tufuatilie mapokezi ya Rais wa Uganda mh Yoweri Kaguta Museveni mjini Chato mkoani Geita.
Up dates;
Haiwezekani hiloMjomba mfano 2020 akipokonywa taji anaweza kufa kwa presha 🤣🤣
Kongo DRC Wakongoman wameacha kusikiliza muziki wao, siku hizi wanatembea na simu zao huku wakisikiliza hotuba za Magufuli-JPM. Wasio mpenda watanuna tu hamna jinsi nyengine ya kuwa saidia.
Ni safari binafsi kwa Magufuli nyumbani kwake. Jamaa mshamba sana.KWAHIYO ATATEMBELEA NCHI AU NYUMBANI KWA JIWE
we mlevi wa sifa. makamanda unawaita wavunja tofali, ngoja uingie 18 zao utageuka mchangaHahaa hutaki una acha, umaarufu wake DRC umeongezeka mara dufu pale alipomhakikishia Rais wa DRC.kuwa wavunja tofali kwa ngumi hawatoki DRC mpaka amani ipatikane.
PorojooKongo DRC Wakongoman wameacha kusikiliza muziki wao, siku hizi wanatembea na simu zao huku wakisikiliza hotuba za Magufuli-JPM. Wasio mpenda watanuna tu hamna jinsi nyengine ya kuwa saidia.
Mbona kuna Proposal yakuanziaha TV & Radio CHATO, hujaiona kumbe?TBC imekuwa yake!
TBC imekuwa yake!
we mlevi wa sifa. makamanda unawaita wavunja tofali, ngoja uingie 18 zao utageuka mchanga
Wewe ndio huna!Hakuna mtu mwenye king'amuzi kinacho onyesha tbc
Hahahaa.......!Mlete babako aonekane na yeye