johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
- Thread starter
- #41
Usimlinganishe Rais na chairman wa chadema!Hivi hizi ziara za kibinafsi zimekuwa za kitaifa?
TBC badala ya kugharamia watu kusafiri kila siku kwenda Chato wafungue ofisi kabisa na kuhamisha staff was kutosha.