Chato kuwekewa taa za barabarani

Chato kuwekewa taa za barabarani

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,200
Reaction score
162,758
1568198612884.png
 
Wakati makao makuu ya nchi hakuna mpango huo, wakati jiji kuu la kibiashara nchini bado mitaa mingi sana iko gizani. Pesa anazochota bila idhini ya Bunge in trillions na kuzificha kwenye VOTE 20 na VOTE 30 ili ofisi ya CAG isizikague! Mwizi HAACHI ASILI!
Nimekumbuka ila kauli ya wasukuma wawili kuswaga .............!!!
 
Halafu Rais anatoka Chato na waziri wake wa ujenzi na uchukuzi anatoka Chato...Huyu waziri namnukuu "Chato utakuwa jiji la mfano"

Kishindo cha awamu ya tano by Gerson Msigwa!
Acha uchochezi bwana!!!!

Mwaga pongezi kwa mkulu maana anafanya makubwa kuliko wenzake wote waliomtangulia!
 
Mada za kipimbi kama hizi utawavuna vilaza wengi, ukimaliza hili njoo na Pwani kupata uwekezaji wa trillion 7 za bwawa la umeme kutoka kwa huyohuyo mtu.
 
Mtu Kwao! Very soon tutakuwa na 'jiji' jipya la utalii na biashara. Chato city.
 
Mimi sithemi kitu!!!
Mimi sithemi kitu!!!
Ni upumbavu kufikili kila kitu lazima kikamilike dar ndo sehem zingine zipate, sasa chato hawakai watu ila taa zinazowekwa musoma hiyo sio ishu, kwa nni ziwekwe msoma wakati dar baadhi ya shemu hazipo na sijaona mkilalama humu? Wakari mwingine punguzeni upumbavu wenu, wa roho mbaya na urofa.
 
Si kweli. Waziri wa ujenzi na uchukuzi mhandisi Kamwelwe hatokei Chato let alone kanda ya Ziwa!!
Halafu Rais anatoka Chato na waziri wake wa ujenzi na uchukuzi anatoka Chato...Huyu waziri namnukuu "Chato itakuwa jiji la mfano"

Kishindo cha awamu ya tano by Gerson Msigwa!
 
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Eng Isack Kamwelwe anatoka Mpanda Mkoa wa Katavi
Halafu Rais anatoka Chato na waziri wake wa ujenzi na uchukuzi anatoka Chato...Huyu waziri namnukuu "Chato itakuwa jiji la mfano"

Kishindo cha awamu ya tano by Gerson Msigwa!
 
Back
Top Bottom