Chato kuwekewa taa za barabarani

Chato kuwekewa taa za barabarani

Maendeleo fasts! Luna walozi humu hawajui kuwa kila halmaahauri ina vipaumbele vyake.
 
Hizo TAA za solar ni kawaida ,zimewekwa sana iringa ,makambako , njombe

Sion tatizo kuwekwa Chato
 
Unayejiita salary slip wewe Huna akili ni lofa na mpumbavu by B. Mkapa
Wakati makao makuu ya nchi hakuna mpango huo, wakati jiji kuu la kibiashara nchini bado mitaa mingi sana iko gizani. Pesa anazochota bila idhini ya Bunge in trillions na kuzificha kwenye VOTE 20 na VOTE 30 ili ofisi ya CAG isizikague! Mwizi HAACHI ASILI!
 
Hivi taa za barabarani nayo ni ishu??? Mawilayani huko siku hizi wanaweka sana taa za solar na ni very cheap
 
Barabara nyingi si barabara zote kwanini wasiweke kwenye barabara zote za Dodoma na jiji kuu la biashara nchini kabla ya KUKURUPUKA na kurukia Chato!? 😳😳😳😳 Chato ina umuhimu gani ukilinganisha na Dodoma na Dar cha kupewa kipaumbele cha taa za barabarani wakati kuna mitaa Dodoma na Dar haina taa za mtaani?
Kwani Chato ni Japan? si Tanzania? sioni tatizo lolote
 
Kwa hiyo? Chato ni kama kimji tu kwanini ipewe kipaumbele kuliko Dar na Dodoma? Mbona waliotangulia hawakufanya hivyo kila kukicha kujenga kwao tu tena kwa pesa za wizi ambazo Bunge halijaidhinisha!?
Tia akili kichwani wewe acha kuandika UPUUZI!

Kwani Chato ni Japan? si Tanzania? sioni tatizo lolote
 
Jimbo lina wabunge wawili, mnategemea nini?! Aliyoshindwa kuyafanya kwa miaka yote Chato ndiyo anayafanya sasa.
Ndiyo mjifunze kuna makabila hayafai kuruhusiwa kutawala.
 
Kwa hiyo? Chato ni kama kimji tu kwanini ipewe kipaumbele kuliko Dar na Dodoma? Mbona waliotangulia hawakufanya hivyo kila kukicha kujenga kwao tu tena kwa pesa za wizi ambazo Bunge halijaidhinisha!?
Tia akili kichwani wewe acha kuandika UPUUZI!
mnateseka sana, wewe huoni dar inavyojengwa? huoni dom inavyojengwa? usijitoe akili mkuu
 
Wapumbavu kama wewe ndiyo mnaovimbisha kichwa huyo nduli na dikteta ili kuendelea na maovu yake mbali mbali dhidi ya Watanzania. Nchi ina taratibu zake mbali mbali za kuiendesha siyo kufanya mambo KIHUNI KIHUNI TU!

mnateseka sana, wewe huoni dar inavyojengwa? huoni dom inavyojengwa? usijitoe akili mkuu
 
Wakati makao makuu ya nchi hakuna mpango huo, wakati jiji kuu la kibiashara nchini bado mitaa mingi sana iko gizani. Pesa anazochota bila idhini ya Bunge in trillions na kuzificha kwenye VOTE 20 na VOTE 30 ili ofisi ya CAG isizikague! Mwizi HAACHI ASILI!
Lawama zako hazitazuia maendeleo Chato. Mitaa ya Jiji la kibiashara isubiri Chato itoke gizani-bigup serikali ya awamu ya tano mnatujali wanyonge.
 
Wapumbavu kama wewe ndiyo mnaovimbisha kichwa huyo nduli na dikteta ili kuendelea na maovu yake mbali mbali dhidi ya Watanzania. Nchi ina taratibu zake mbali mbali za kuiendesha siyo kufanya mambo KIHUNI KIHUNI TU!
wewe ndo mpumbavu unayejifanya huoni dramastic changes
 
Mimi si mpumbavu ndiyo sababu nayapinga maovu yote ya huyo dhalimu ikiwemo wizi, ufisadi, ubadhirifu, utekaji, utesaji, UUAJI, ubambikiaji kesi, kudharau bunge, mahakama, katiba, ofisi ya CAG kwa kuzuia isifanye kazi yake ya kukakua matumizi mbali mbali ya Serikali ili aweze kuendeleza UKWAPUZI wake wa trillions za walipa kodi lakini MPUMBAVU wewe yote hayo huyaoni unakenua na kumpigia makofi huyo dhalimu.

wewe ndo mpumbavu unayejifanya huoni dramastic changes
 
Mimi si mpumbavu ndiyo sababu nayapinga maovu yote ya huyo dhalimu ikiwemo wizi, ufisadi, ubadhirifu, utekaji, utesaji, UUAJI, ubambikiaji kesi, kudharau bunge, mahakama, katiba, ofisi ya CAG kwa kuzuia isifanye kazi yake ya kukakua matumizi mbali mbali ya Serikali ili aweze kuendeleza UKWAPUZI wake wa trillions za walipa kodi lakini MPUMBAVU wewe yote hayo huyaoni unakenua na kumpigia makofi huyo dhalimu.
Hahahaaaa, kweli chadema mna matatizo, wewe uliona huo wizi? hizo fedha zilizoibiwa zimepelekwa wapi? hamna jipya, tulieni nchi inyooshwe, na tunataka kumpa miaka 30 mbele
 
Upumbavu wa hali ya juu!!!! Hivi chato inaingiza pato la kiasi gani kwa Taifa hata ipewe kipaumbele kuliko jiji kuu la biashara nchini au makao makuu ya nchi!?

Lawama zako hazitazuia maendeleo Chato. Mitaa ya Jiji la kibiashara isubiri Chato itoke gizani-bigup serikali ya awamu ya tano mnatujali wanyonge.
 
Tatizo lako huelewi niliyoyaandika. 1.5 trillions imekwapuliwa hazina na huyo mwizi, karuhusu 28 billion kwa ndugai kwa matibabu, kagomea $495 millions kukaguliwa na ofisi ya CAG. Anachota trillions kujenga chato bila pesa hizo kuidhinishwa na Bunge lakini MPUMBAVU wewe yote hayo huyaoni!!!!

Lini CAG Assad alichukua kadi ya uanachama wa Chadema hadi AANDIKE YOTE HAYO!?
😳😳😳😳

Hahahaaaa, kweli chadema mna matatizo, wewe uliona huo wizi? hizo fedha zilizoibiwa zimepelekwa wapi? hamna jipya, tulieni nchi inyooshwe, na tunataka kumpa miaka 30 mbele
 
Back
Top Bottom