Acha upumbavu, usilazimishe watu wawe na mitazamo kama ya kwako.Mada za kipimbi kama hizi utawavuna vilaza wengi, ukimaliza hili njoo na Pwani kupata uwekezaji wa trillion 7 za bwawa la umeme kutoka kwa huyohuyo mtu.
Dah,hivi huko Ufipa hamna hata mwenye AKILI TIMAMU?Waziri wa ujenzi anatoka CHATO?Ukiwa na chuki ni RAHISI SANA KUWA MPUMBAVU.Halafu Rais anatoka Chato na waziri wake wa ujenzi na uchukuzi anatoka Chato...Huyu waziri namnukuu "Chato itakuwa jiji la mfano"
Kishindo cha awamu ya tano by Gerson Msigwa!
Mhandisi Isaack Aloyce Kamwelwe ni Mkonongo toka Majimoto, Katavi. Hiyo ya kwamba anatoka Chato ni uzushi wa mchana kama uzushi mwingine wowote.Si kweli. Waziri wa ujenzi na uchukuzi mhandisi Kamwelwe hatokei Chato let alone kanda ya Ziwa!!
Kukosa akili kuna'reflect sio tu mtazamo bali pia uandishi, rudi shule ukajifunze kuandika kiufasaha labda itakusaidia hata upeo wa kuiona dunia katika uhalisia wake.Ni upumbavu kufikili kila kitu lazima kikamilike dar ndo sehem zingine zipate, sasa chato hawakai watu ila taa zinazowekwa musoma hiyo sio ishu, kwa nni ziwekwe msoma wakati dar baadhi ya shemu hazipo na sijaona mkilalama humu? Wakari mwingine punguzeni upumbavu wenu, wa roho mbaya na urofa.
Unazungumzia makao makuugani? Kama ni Dodoma sikweli, barabara nyingi za dom zimeshawekewa taaWakati makao makuu ya nchi hakuna mpango huo, wakati jiji kuu la kibiashara nchini bado mitaa mingi sana iko gizani. Pesa anazochota bila idhini ya Bunge in trillions na kuzificha kwenye VOTE 20 na VOTE 30 ili ofisi ya CAG isizikague! Mwizi HAACHI ASILI!
Umejibu swali moja ya kuwa taa za barabarani na Idodomya zipo, vipi swali la pili la matumizi fedha za walipa kodi ya 'kulineemesha na kuliboresha' jiji la Chato bila idhini ya bunge ili kukwepa auditing za CAG?Unazungumzia makao makuugani? Kama ni Dodoma sikweli, barabara nyingi za dom zimeshawekewa taa

Wakati makao makuu ya nchi hakuna mpango huo, wakati jiji kuu la kibiashara nchini bado mitaa mingi sana iko gizani. Pesa anazochota bila idhini ya Bunge in trillions na kuzificha kwenye VOTE 20 na VOTE 30 ili ofisi ya CAG isizikague! Mwizi HAACHI ASILI!






trueUnazungumzia makao makuugani? Kama ni Dodoma sikweli, barabara nyingi za dom zimeshawekewa taa
Dah...kwetu huku Igawa hizo taa tayari kitambo sanaWeweeee mambo safi


