CHASO SAUT kuandamana kupinga Zitto na Mkumbo kuvuliwa uongozi

Status
Not open for further replies.
Hawa hapo haitawezekana na hawawezi na hawataweza kwakua hawanauwezo.
 
Sio kweli, rejea taarifa ya Mwenyekiti wa CDM Kigoma...

Ni whuni wachache wakiongozwa na Dr Alex(Katibu wa Zitto na anayepigiwa debe na Zitto kumrithi 2015 iwapo Zitto hatagombea) pamoja na makada wa CCM waliokodi boda boda kumi na mbili na kuanzisha kile kinachoitwa maandamano

Sasa huyo Alex anataka kumrithi Zitto kw ticket ya Chadema au CCM? Maana kama ni Chadema am sure hana nafas =i hata kidogo labda CCM au NCCR
 
wataandamana wachumia tumbo tu, badala ya kuandamana hawana boom + ajira , wanapoteza mda kumtukuza huyo mchumia tumbo.
 
Nasikia nao wataia kiberiti kadi za chadema mzee slaa wampe waangalizi make sacos yao sasa inaelekea kufa kibudu atapata wapi hela ya kumpeleka jose germany.
 
wataandamana wachumia tumbo tu, badala ya kuandamana hawana boom + ajira , wanapoteza mda kumtukuza huyo mchumia tumbo.
Wanafunzi wote wako na boom ile nyie vifaranga ndiyo hamna boom toka kwa mama yenu.
 
Bado huo ni mwanzo tu ila akishafukuzwa ndio mtaona rangi halisi za wanachama wenu.
 
Sasa huyo Alex anataka kumrithi Zitto kw ticket ya Chadema au CCM? Maana kama ni Chadema am sure hana nafas =i hata kidogo labda CCM au NCCR
Huyu ni mpima upepo tu hana chama maalumu ila kajishikiza CHADEMA kiaina..

Upepo ulivyogeuka nadhani atakua anatafuta alternative nyingine
 
Nimepata taarifa zisizo rasmi kuwa baadhi ya wanafunzi kutoka chuo cha SAUT chenye wanachama wa chadema wapatao 3000 wataandamana kupinga maamuzi ya chama,inasemekana watakaoshiriki wanaweza kufikia 600.
ngoje tuone sinema hii mana hata magamba wanaweza kuunganisha nguvu hapa.

Mimi niko SAUT nimeongea na mwenyekiti wa tawi amekana. Tetesi hizi hazina mashiko yoyote, tangu hili suala la Zitto kukisaliti chama limejitokeza wanafunzi na mapenzi wa CDM wamepongeza kamati kuu kwa maamuzi waliyochukua. Nimepita viunga vyote hapa SAUT hasa kwa huyu jamaa muuza magazeti. Source mimi mwenyewe naishi maeneo ya Nyamalango.
 
Nasikia nao wataia kiberiti kadi za chadema mzee slaa wampe waangalizi make sacos yao sasa inaelekea kufa kibudu atapata wapi hela ya kumpeleka jose germany.

Habari ya kupikwa hii wewe mama, niko SAUT hakuna maandamano. Dhambi kubwa ya wanafunzi wa SAUT ni maandamano yasiyokuwa na tija. Wanafunzi wanachama wa CDM SAUT si kwamba tutakuwa wa mwisho kuondoka CDM ila tutakuwa wa kwanza kupigania hila na propaganda chafu dhidi ya chama chetu.
 
Nimepata taarifa zisizo rasmi kuwa baadhi ya wanafunzi kutoka chuo cha SAUT chenye wanachama wa chadema wapatao 3000 wataandamana kupinga maamuzi ya chama,inasemekana watakaoshiriki wanaweza kufikia 600.
ngoje tuone sinema hii mana hata magamba wanaweza kuunganisha nguvu hapa.


Hakuna kitu kama hicho chaweza tokea kwa chuo chochote cha elimu ya juu sio tu SAUT ndani ya Kanda ya Ziwa Magharibi. VIJANA WANGU WANAHESHIMU MAAMUZI YA KAMATI KUU YA CHADEMA.

Dr. Rodrick Kabangila
Makamu Mwenyekiti-kanda ya Ziwa Magharibi.
 
Wakuu nimeidaka taarifa moja kutoka kwenye viunga vya chuo kikuu cha SAUT kwamba tawi la CDM chuoni hapo wanajiandaa kutoa tamko kesho juu ya sakata linaloendelea ndani ya CDM hii nimeambiwa inahusiana na Zitto Sag,kama mtakumbuka ni juzi tu iliwekwa taarifa hapa inayosema CHASO SAUT kuandaa maandamano ya kupinga maamuzi ya kamati kuu ya kumvua madaraka Zitto na wenzake,so stay turned niatawajuza hiyo kesho kipi kilichoandaliwa na kipi kitazungumziwa na wasomi hawa.

  • A%20S%20103.gif
    • :dance:


 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom