Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Mwanangu charminglady nilishamwozesha kwa @C6, na kwa sasa ni mjamzito soon nitaitwa bibi na mume wangu mpenzi watu8 ataitwa babu muda si mrefu, may God be with us. Wewe umeibukia wapi?
Hvi sasa si muangalie wakati ndio sasa asije kuwa zombie?
Last edited by a moderator: