charminglady pokea zawadi ingawa hunipendi

charminglady pokea zawadi ingawa hunipendi

Ruhazwe JR

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2011
Posts
3,402
Reaction score
927
Ni muda sasa umepita,nilikua kimya kwani nilienda kutafuta.nimerudi na kizawadi hiki japo kidogo lakn unaweza kuanzia wakati nasikilizia jibu toka kwako
Range-Rover-Evoque-front%20side%20exterior.jpg
pamoja napesa kidogo ya mafuta
us_dollar.png
 
Wakati unaenda kuchange dora unaweza kuwa unatumia hii
tanzania1.jpg
tanzania1.jpg
zitatosha?ama nikuongeze
 
charminglady Ili usipate tabu kuingia jf nimekuchukuli kitu hiki
imgres
 
Last edited by a moderator:
wakati ndio sasa una moyo mkubwa sana! sasa mtu ana bed rest na wakati wowote atajifungua bado wamfuatilia? kaazi kwelikweli!
 
Last edited by a moderator:
WNS atafutaye hachoki,akichoka keshapata,kaza buti mwanawane who knows.
 
Una uhakika kuna sehem salama ya kui-park hiyo ndinga?
 
wakati ndio sasa una moyo mkubwa sana! sasa mtu ana bed rest na wakati wowote atajifungua bado wamfuatilia? kaazi kwelikweli!

namshanga, naona anataka kunisababishia miscarriage ya miezi tisa kasoro wiki 2!!!!! please wns leave me alone. . .
 
Last edited by a moderator:
kweli WNS wajua kupenda, lol!

anayependwa sasa!mmmh unajua mtu unaweza penda ukapenda jiwe?lakini kukataliwa haimanishi moyo wangu kuacha kumpenda,najua anateseka huko alipo ndio maana napenda kumzawadia angalau na yeyd aish fresh hata kama yupo bedrest mi nampend
 
Wns hapo umependa na unakataliwa sasa laiti ungependa na ukapewa limbwata ungehonga mpaka nguo za ndani.
 
ndugu yangu kupenda kunagharama zake,lakin pia kunamaumivu yake hasa unapopenda usipendwe

Mwanangu charminglady nilishamwozesha kwa @C6, na kwa sasa ni mjamzito soon nitaitwa bibi na mume wangu mpenzi watu8 ataitwa babu muda si mrefu, may God be with us. Wewe umeibukia wapi?
 
Last edited by a moderator:
Mwanangu charminglady nilishamwozesha kwa @C6, na kwa sasa ni mjamzito soon nitaitwa bibi na mume wangu mpenzi watu8 ataitwa babu muda si mrefu, may God be with us. Wewe umeibukia wapi?

huyu dogo king'ang'anizi kama ruba, wala asikusumbue kichwa wangu...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom