Charlie Sheen reveals he is HIV Positive

Charlie Sheen reveals he is HIV Positive

He hee,hiyo kwenye nyekundu nimeipenda sana,nadhani hata wewe ingawa uko undesided kwenye suala hili,unajionea mwenyewe jinsi kazi ya kuwaelimisha watu kama hawa ilivyo ngumu.Yaani watu kama hawa wako wengi sana lakini wenyewe hawajijui,wanajiona wako sawa tu na wengine kiuelewa,ndio maana wanakuwa wabishi sana bila hata sababu za msingi.
napenda kujifunza
nikiongea nitakua natoa kile ambacho uwenda nimeshakitoa na pia sitapata chochote kwa kutoa
napenda kujifunza,watu wengi hawapendi kujifunza/kusikiliza/kusoma hujikuta na idea zile zile miaka nenda rudi
speaking of HIV/AIDS niko kapa nahtaji kujua mengi
 
Now Deception bring your arguments to those points above.
Or did i frustrated you for that?
[emoji27]

SOMA,narudia,SOMA zile nyuzi nilizopost humu ndio labda utaelewa kwamba hicho ulicho copy na ku pest hapa ni takataka tu.Wewe hunielewi vizuri ndio maana unadhani umeandika kitu kikubwa sana cha kuni frustrate.Ukisoma na kuelewa post zangu kwenye hizo nyuzi ndio utaelewa kwanini hicho ulichopost ni TAKATAKA TU.

Haya mambo nimeanza muda mrefu kuyajadili,usifikiri huo uvundo ulioandika siujui,bali ninaujua na ninaouona ni takataka kama zilivyo takataka nyingine tu.SOMA labda unaweza kuelewa,jitahidi kidogo kukaza mkanda.
 
SOMA,narudia,SOMA zile nyuzi nilizopost humu ndio labda utaelewa kwamba hicho ulicho copy na ku pest hapa ni takataka tu.Wewe hunielewi vizuri ndio maana unadhani umeandika kitu kikubwa sana cha kuni frustrate.Ukisoma na kuelewa post zangu kwenye hizo nyuzi ndio utaelewa kwanini hicho ulichopost ni TAKATAKA TU.

Haya mambo nimeanza muda mrefu kuyajadili,usifikiri huo uvundo ulioandika siujui,bali ninaujua na ninaouona ni takataka kama zilivyo takataka nyingine tu.SOMA labda unaweza kuelewa,jitahidi kidogo kukaza mkanda.

Ha ha ha ha.
Kijana mbona umepagawa?
Uliomba hapo juu kujibu hoja kwa hoja sasa mbona unaleta Mipasho?
Au maji mazito!
Piga yowe usaidiwe.
 
SOMA,narudia,SOMA zile nyuzi nilizopost humu ndio labda utaelewa kwamba hicho ulicho copy na ku pest hapa ni takataka tu.Wewe hunielewi vizuri ndio maana unadhani umeandika kitu kikubwa sana cha kuni frustrate.Ukisoma na kuelewa post zangu kwenye hizo nyuzi ndio utaelewa kwanini hicho ulichopost ni TAKATAKA TU.

Haya mambo nimeanza muda mrefu kuyajadili,usifikiri huo uvundo ulioandika siujui,bali ninaujua na ninaouona ni takataka kama zilivyo takataka nyingine tu.SOMA labda unaweza kuelewa,jitahidi kidogo kukaza mkanda.
Hakuna ulichokiandiaka nikakiita TAKATAKA lkn naona tayari unaanza kudhuhirisha uwezo wako mdogo wa debate.
Killa ulichoandika hapo juu ni Upuuzi mtupu uliopata Google wa Watu wasio na elimu.
You got the guts challenge what i have wrote with evidence backed by Scientific research and NOT blah..blah..

We unapoandika utumbo unategemea watu wakae kimya tu sio?
 
napenda kujifunza
nikiongea nitakua natoa kile ambacho uwenda nimeshakitoa na pia sitapata chochote kwa kutoa
napenda kujifunza,watu wengi hawapendi kujifunza/kusikiliza/kusoma hujikuta na idea zile zile miaka nenda rudi
speaking of HIV/AIDS niko kapa nahtaji kujua mengi

We umesha jiita Kilaza .
Kakojoe ulale.
Na huyo Mumeo kaanza matusi badala ya kujenga hoja.
 
napenda kujifunza
nikiongea nitakua natoa kile ambacho uwenda nimeshakitoa na pia sitapata chochote kwa kutoa
napenda kujifunza,watu wengi hawapendi kujifunza/kusikiliza/kusoma hujikuta na idea zile zile miaka nenda rudi
speaking of HIV/AIDS niko kapa nahtaji kujua mengi
Vipi mdau Umesha athirika au?
HIV is Real. Asikudanganye mtu.
Lkn sio sababu ya kufa.
Km umeshaathirika kapate matibabu haraka.
Usisikie maneno ya huyu mjukuu wa Babu wa loliondo ukaja kuathirika zaidi.

We unakubaliana nae kuwa labs around the world zikae zipange namna ya kudanganya wagonjwa ili iweje?
Hapo Tz watu kila mara wanakuwa Diagnosed na HIV na wanapata matibabu kila siku.
Sasa huu upuuzi wa kusema Ati ni multi billion Industry imewekwa Kudanganya watu Inaingia Akilini?

Wangapi wamekufa hapo Kwa kutafuta tiba Mbadala km za hawa self made doctors?
 
Vipi mdau Umesha athirika au?
HIV is Real. Asikudanganye mtu.
Lkn sio sababu ya kufa.
Km umeshaathirika kapate matibabu haraka.
Usisikie maneno ya huyu mjukuu wa Babu wa loliondo ukaja kuathirika zaidi.

We unakubaliana nae kuwa labs around the world zikae zipange namna ya kudanganya wagonjwa ili iweje?
Hapo Tz watu kila mara wanakuwa Diagnosed na HIV na wanapata matibabu kila siku.
Sasa huu upuuzi wa kusema Ati ni multi billion Industry imewekwa Kudanganya watu Inaingia Akilini?

Wangapi wamekufa hapo Kwa kutafuta tiba Mbadala km za hawa self made doctors?
kutokukubali kitu haimaanish usikisikilize
i wish nimpinge ila soo far SINA HOJA YA KUMPINGA
mi msomaji
 
We umesha jiita Kilaza .
Kakojoe ulale.
Na huyo Mumeo kaanza matusi badala ya kujenga hoja.

huyo kirus anaesababisha malaria ndio yupi?
nijuavyo mimi ni plasmodiam ambaye ni protozoa

eti nikakojoe nikalale
wewe nafikiri ulienda shule kusomea ujinga
hiyo ni basic knowledge ulipaswa kuijua

hahaha eti malaria viruses?
NANI AKAKOJEA AKALALE mim au wewe?
 
huyo kirus anaesababisha malaria ndio yupi?
nijuavyo mimi ni plasmodiam ambaye ni protozoa

eti nikakojoe nikalale
wewe nafikiri ulienda shule kusomea ujinga
hiyo ni basic knowledge ulipaswa kuijua

hahaha eti malaria viruses?
NANI AKAKOJEA AKALALE mim au wewe?

We si umejiita KILAZA? AU ulikuwa umelewa?
Ha ha ha ha
 
kutokukubali kitu haimaanish usikisikilize
i wish nimpinge ila soo far SINA HOJA YA KUMPINGA
mi msomaji
Hakuna alichoandika toka mwanzo akaambatanisha na Ushahidi uliohakikiwa na Science.
Mtu anaweza kuleta madai ya aina yyt lkn tatizo linakuja atakapombwa Ushahidi wa madai yake.


Muulize hayo madai yake zaidi ya kukopi Google lini Scientists walikaa Lab wakafanya hitimisho kuwq HIV Hakuna?

Na km bado ananisoma hapa alete hio Research hapa tupate faida wote sio Maneno matupu.
Hio ni kazi ya walevi
 
huyo kirus anaesababisha malaria ndio yupi?
nijuavyo mimi ni plasmodiam ambaye ni protozoa

eti nikakojoe nikalale
wewe nafikiri ulienda shule kusomea ujinga
hiyo ni basic knowledge ulipaswa kuijua

hahaha eti malaria viruses?
NANI AKAKOJEA AKALALE mim au wewe?
Labda kurahisisha ungesema malaria inasababishwa na Parasite. Na sio Virus.
Hapo ungekuwa umefanya haki.

Kutaja jina la Parasite hakumsaidii asiejua Hicho ulichokitaja kuwa ni Virus au bacteria au Parasite.

Ahsanta.
 
kutokukubali kitu haimaanish usikisikilize
i wish nimpinge ila soo far SINA HOJA YA KUMPINGA
mi msomaji

We unasoma au unasikiliza.?
Ha ha ha .
Naona Chibuku inaleta tabu usiku huu.
 
Hakuna alichoandika toka mwanzo akaambatanisha na Ushahidi uliohakikiwa na Science.
Mtu anaweza kuleta madai ya aina yyt lkn tatizo linakuja atakapombwa Ushahidi wa madai yake.


Muulize hayo madai yake zaidi ya kukopi Google lini Scientists walikaa Lab wakafanya hitimisho kuwq HIV Hakuna?

Na km bado ananisoma hapa alete hio Research hapa tupate faida wote sio Maneno matupu.
Hio ni kazi ya walevi

Wewe nilikwambia usome zile nyuzi nilizoweka humu,nilikwambia kwamba humo kuna kila kitu lakini hutaki kusoma,sijui kwanini uko hivyo.

Haya sasa,kuna scientific papers nyingi sana,lakini nitakuwekea moja tu kuonesha kwamba hakuna HIV/AIDS,bali kuna AIDS(sina uhakika kama utakuwa umenielewa).Pia nakuwekea documentaries kuonesha historia fupi ya huo ugunduzi wa huyo mnayemwita HIV halafu usikilize na kulinganisha maelezo na evidence za wanasayansi wa humo ndio utajua kama kweli HIV yupo au hayupo.Mojawapo ya documentaries hizo ni ya huyo mgunduzi mnayemwamini Luc Montagnier,msikilize kwa makini mgunduzi huyu ndio utajua kwamba ugunduzi wa HIV ni blaa blaa.Hata huyo Montagnier mwenyewe anasema huyo HIV(feki) anaweza kuondolewa mwilini kama una kinga nzuri(ha ha haaa,haya mambo unahitaji kutulia sana,utaelewa tu kama utaweka mipasho pembeni).

Hapa ndipo nitajua kama kweli wewe ni msomaji au uko kupinga tu.

documentaries;

1. https://www.youtube.com/watch?v=1Ga01hvqOow

2. https://www.youtube.com/watch?v=PyPq-waF-h4 .....Luc Montagnier.

hapo chini kuna scientific paper;
 

Attachments

Labda kurahisisha ungesema malaria inasababishwa na Parasite. Na sio Virus.
Hapo ungekuwa umefanya haki.

Kutaja jina la Parasite hakumsaidii asiejua Hicho ulichokitaja kuwa ni Virus au bacteria au Parasite.

Ahsanta.
hahahaha
parasite?hapana hata kupe ni parasite japo ni ectoparasite
minyoo wa matumbo achana na earthworm
narudia tena malaria na magonjwa mengi husababishwa na vimelea ambavyo huingia ndani ya mwili na kuitwa parasite
hyo ni general knoweledge tu
wa malaria sio bacteria(monera) au virus kama ulivyotaja hapo juu ni PROTOZOA(PROTOCTISTA) ambaye ni plasmodium(comon name) anabebwa na mbu jike
hahahaha KAMA HUJUI MALARIA INASABABISHWA NA NINI eti parasite ?! huna tofauti na huyo hapo juu malaria viruses

mpaka sasa najiuliza ya malaria huna elimu yake HIV/AIDS unataka kuongea nini?
by the way usitoe ma link kutoka google kupachika hapa
 
We si umejiita KILAZA? AU ulikuwa umelewa?
Ha ha ha ha
haya bwana mzee wa malaria viruses
hahahaha
unadiscus HIV/AIDS hujui hata elimu ya kawaida ya malaria?
umeijuaje JF? hahahaha
 
hahahaha
parasite?



haya bwana .
hahahaha

Changudoa kavamia, anajitekenya na kucheka mwenyewe, ukute ni jimama zima sura mbovu linaweka sura kutoka Google kisha linajiita Kilaza at the same time linabisha pumba.
Ati sio parasite ni protozoa.
Wakati mwingine Hormones za uzee usipojichunga Unaweza mbaka hata mjukuu wako.

Old Changu Malaria-is-caused-by the plasmodium parasite. There are many different types of plasmodium parasite, but only five types-cause malaria-in humans.

Mbuzi jike Can you mention those 5 types? Or your ring piece is twitching,!
I'm afraid i can't scratch you cause you are too old and you might have those VVU bugs. Lol
 
Wewe nilikwambia usome zile nyuzi nilizoweka humu,nilikwambia kwamba humo kuna kila kitu lakini hutaki kusoma,sijui kwanini uko hivyo.

Haya sasa,kuna scientific papers nyingi sana,lakini nitakuwekea moja tu kuonesha kwamba hakuna HIV/AIDS,bali kuna AIDS(sina uhakika kama utakuwa umenielewa).Pia nakuwekea documentaries kuonesha historia fupi ya huo ugunduzi wa huyo mnayemwita HIV halafu usikilize na kulinganisha maelezo na evidence za wanasayansi wa humo ndio utajua kama kweli HIV yupo au hayupo.Mojawapo ya documentaries hizo ni ya huyo mgunduzi mnayemwamini Luc Montagnier,msikilize kwa makini mgunduzi huyu ndio utajua kwamba ugunduzi wa HIV ni blaa blaa.Hata huyo Montagnier mwenyewe anasema huyo HIV(feki) anaweza kuondolewa mwilini kama una kinga nzuri(ha ha haaa,haya mambo unahitaji kutulia sana,utaelewa tu kama utaweka mipasho pembeni).

Hapa ndipo nitajua kama kweli wewe ni msomaji au uko kupinga tu.

documentaries;

1. https://www.youtube.com/watch?v=1Ga01hvqOow

2. https://www.youtube.com/watch?v=PyPq-waF-h4 .....Luc Montagnier.

hapo chini kuna scientific paper;
Tatizo lako toka mwanzo nililokwambia Ni kuwa unabeba Vitu kutoka Google na youtube kisha husomi wala kutazama unacholeta hapa.
Hapo ktk Hio video ya kwanza tu huyo Dr John Moore pamoja na Helena Papadopules Hakuna statement moja wametoa ambayo ni Conclusive inayosema HIV Viruses HAKUNA. Bali Ni Speculations tu km za kwako kwa madai kuwa Hakuna Scientific study inayoonyesha Kuwa Wapo na wakaongezea Kusema Kuwa (We interpreted different from them) means those who claim that HIV do Exist , wakati huo huo The word leading Scientists like Dr Galore na Dr Thatcher wamesema Opposite?
Unapotoa Strong claims kama hizi NI LAZIMA uweke SOLID Undesputed EVIDENCES to Proof your claims Otherwise itakuwa ni kama yale malumbano ya Was Armstrong went to the Moon or not.
Nani ktk Hao Scientists wote ulio wa quote hapo juu kamchukua mgonjwa hatta mmoja aliyekuwa Diagnosed na HIV Kisha akampima na Kutoa Scientific evidence alongside the Petient him/ herself as a Solid Evidence? Na Hali ya Huyo mgonjwa Ikabadilika (with the valid Tests )? ?

Sikiliza Deception Science sio Blah..blah.. na Ktk Ulimwengu wa kwanza Hakuna Upuuzi wa Kuzuia watu kufanya Researches na Kutoa Details zake Hadharani. Science is about PROOF and Not Speculations or Opinions.
Unapotaka Ku challenge ones research unachotakiwa ni Kuleta Another SOLID and Concrete Undesputed EVIDENCE to prove your Claims.
And so far kutokana na So called Evidence you have provided Non of it Proved otherwise. Almost All of them wanakimbilia kwenye Suala la isolation of the (HIV) Virus from the Cell kitu ambacho kinaonyesha udhaifu wa Hizo Claims zao.
Leo tunajua Kwamba unaweza Ku pin point Virus ktk cells kwa Purification na sio lzm ki Isolate hao Virus.
Kitu ambacho kinafanyika ktk Researches mbalimbali.

Usikimbilie kusema Watu hawakusomi, sikiliza Hio video ya Kwanza kwa mara ingine tena kisha Nambie Au tuambie hapa Dakika ya ngapi ya Hio Clip/clips Inayoonyesha SOLID PRACTICAL Evidence inayoonyesha HIV Viruses is A non existence. Kutokuweza ku isolate Virus ktk Cells SIO enough Evidence kuwa Virus huyo hayupo, sijui km unanielewa hapa. Sometime you can SEE the viruses without purifying or Isolate it or by simply using Electro micrograph (scop).

Hata Dr Mwakipesile anaweza kudai kafanya Research kwenye lab yake iliko Mbagala Lkn tatizo linakuja je! Hio research yake Ni Valid and Acceptable?

Na Kumalizia Tu, All Dr's na So called researchers ktk hizo video zako zote hakuna hatta mmoja wao aliepo ktk Ile List ya The World respectable Scientists. Baadhi yao hata majina yao tabu kuyaandika.

Endelea Kupekuwa Nasubiri Kujifunza km kuna jipya.
Ile tabia ya selective hearing hapa haitakiwi kabisa.
Take everything on board before you start making conclusions.
 
Last edited by a moderator:
Changudoa kavamia, anajitekenya na kucheka mwenyewe, ukute ni jimama zima sura mbovu linaweka sura kutoka Google kisha linajiita Kilaza at the same time linabisha pumba.
Ati sio parasite ni protozoa.
Wakati mwingine Hormones za uzee usipojichunga Unaweza mbaka hata mjukuu wako.

Old Changu Malaria-is-caused-by the plasmodium parasite. There are many different types of plasmodium parasite, but only five types-cause malaria-in humans.

Mbuzi jike Can you mention those 5 types? Or your ring piece is twitching,!
I'm afraid i can't scratch you cause you are too old and you might have those VVU bugs. Lol

Mkuu acha hizo.

Acha kumtusi mtu, hii sio face 1000 babu.

Huwezi mjadala kaa kimya fuatilia tu.

Matusi ni kuonyesha jinsigani kichwa chako kilivyo.
 
Back
Top Bottom