Mkuu itakua vizur ukileta hapa comment yangu yoyote niliyosema Ukimwi haupo.
Kinyume na hapo utakua unaongopa na mtume (saw) amekea sana uongo.
Mm nasema ukimwi upo tena ulikuepo tangu bara la Africa halijagunduliwa.
Ninacho pinga ni sababu ya ugonjwa huo kutwishwa huyo HIV.
Usipo nielewa hapa nitautilia shaka uislam wako.
Hivi hapa unafanya Kusudi? Au kweli hunielewi!
Wapi nimeandika kuwa Wewe umesema "UKIMWI HAKUNA"! ?
Narudia mara ya Mwisho,
Wewe na mwenzako mmeleta madai kuwa HIV Viruses HAKUNA.
Au hujui tofauti baina ya HIV na AIDS?
Unapoteza wakati wangu bure.
Km hujajua tofauti hizo mbili hapa umeingia kimakosa.
Mimi Umri wangu nilionao hapa UONGO ni mwiko kabisa. Lkn Mtu akiniletea upumbavu huwa nampa mtu maneno yake vibaya sana.
Huwa simshambulii mtu muungwana hatta siku moja. Nadhani unanisoma kila mara mpk ukaamua kumuita huyo mgalatia hapa achafue uzi na kumtukana kiongozi unaemswalia hapo juu. Hii inaonyesha Uwezo wako wa kufikiri uko namna gani.
Nyie ndio wale mnaojiita waislamu lkn walalahoi.
Hilo tuliache manake ntakuvuruga vibaya hapa nipate dhambi buree.
Nakupa Muhsari wa malumbano haya.
Wewe na mwenzako mmedai HIV hakuna. Mimi na wengine tunakuonyesheni SOLID Evidence kuwa HIV wapo, we unadai picha Kitu ambacho Ktk sayansi ni utoto kabisa.
Manake Mtu anaweza kukuletea picha yyt akadai hio ndio A.B.C kisha Ukaanzisha malumbano mapya.
Baada ya kushindwa kuleta ushahidi wenye Mashiko sasa udai ati nimesema HIV inasababisha AIDS kitu ambacho SIJAKIANDIKA HATTA MARA MOJA HAPA na Kama Kipo Nionyeshe.
Baada ya mimi Kukuonyesheni udhaifu wa hoja zenu Unageuza Kibao na kuandika kuwa "KM HIV hakuna Sasa AIDS inatoka Wapi? Ina maana na Hio AIDS hakuna"
Hoja hio hapo juu ni UPUMBAVU uliopitiliza.
Km wewe unapinga UWEPO wa HIV leta Undisputed SCIENTIFIC EVIDENCE hapa tuisome.
La! Huna na unataka Kujua AIDS inasababishwa na nini ULIZA usaidiwe.
Sio kuleta 1+1 ktk science kisha ukatoa hitimisho unazotaka wewe hapa.
Namna gani kijana.! Shule gani umesoma wewe?