Sashel
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 212
- 84
so hiyo court ina mipaka ipi? ni kwamba lazima kiongozi awe kaua wananchi wake pekee, au akiwa kaiba hela anashtakiwa pia au niaje...mipaka iko mpaka wapi...maana tuna akina mugabe, museven. hapa kwetu zenj walishaua watu, pale magomeni kulishatokea vurugu wananchi wakafa, arusha juzi juzi tu so nataka nijue vikwazo wanavovitumia huko hague kwenye kukamata na kushtaki viongozi. Kumbuka hawa viongozi wanaopelekwa huko ni wale ambao walishapigwa chini na wananchi wao so wanakua sio powerful tena...But having said that sioni haja ya kumkamata kiongozi wa nchi yetu aliyeua watu50 wakati kuna kiongozi wa marekani aliyeua watu zaidi ya 100000 na hakamatwi ndio kwanza anapeta huko texas:A S angry:
Taylor amekutwa na hatia ya kufadhili vikundi vya uasi kwa diamond smuggling, kuvunja haki za binadamu-sexual slavely,child soldiers. Kuhusu vigezo wanavyotumia ICC kumshtaki mtuhumiwa sina uhakika lakini kwanza lazima nchi iwe imesaini mkataba wao.