Charles Taylor found Gulity at The Hague

_59822328_one.jpg


Liberia's former President Charles Taylor has been found guilty of aiding and abetting war crimes in Sierra Leone's civil war by a UN-backed court in The Hague. Taylor first came to prominence in 1989 when he started a rebellion against Liberia's then President Samuel Doe. Pictured is a rebel loyal to Taylor next to the skull of one of Mr Doe's soldiers.
 
_59749753_ap800412050.jpg


Liberia, Africa's oldest republic, was relatively calm until 1980 when William Tolbert was overthrown by Sergeant Doe after food price riots. President Tolbert and 13 of his aides were publicly executed. A People's Redemption Council headed by Doe (with walkie-talkie) suspended the constitution and assumed full powers.


_59748411_51348797.jpg


By the late 1980s, arbitrary rule and economic collapse culminated in civil war when Charles Taylor's National Patriotic Front of Liberia (NPFL) militia overran much of the countryside.


_59748404_51406169.jpg


Mr Taylor, pictured, continued his march on to the capital, Monrovia to oust President Doe. Despite the Economic Community of West African States (Ecowas) sending a peacekeeping force, Doe was publicly tortured and executed by a splinter group of the NPFL.


_59749755_ap9601050454.jpg


Fighting intensified as the rebels fell out and battled each other, the Liberian army and the peacekeepers. In 1995 a peace agreement was signed, leading to the election of Mr Taylor as president.


 
_59749757_ap97072201108.jpg


Taylor was elected in 1997 and international observers declared the poll free and fair - leading to hopes of an end to the years of bloodshed.
 
Sashel,

Kwa ruhusa yako naomba niweke sawa hili jambo. Hukumu imesomwa, hukumu ni uchambuzi wa kesi kuanzia makosa anayobaliana ushahidi uliotolewa na pande zote,uchambuzi wa ushahidi huo kulingana na sheria zilizopo na mwisho ni kutoa uamuzi wa mahakama kuwa mshtakiwa ana hatia au la, hii Ndio hukumu. Kwa kilichotokea Leo the Hague ni hukumu ya mshtakiwa Kukutwa na hatia.

Adhabu, ni pale mahakama inapoketi baada ya kumpata Mtu na hatia na kutamka adhabu Muafaka baada ya kuzingatia shufaa ambazo upande wa mashitaka na utetezi watatoa.

Kisheria hakuna neno hukumu ya adhabu


Thanks Ngambo, sheria ngumu..lol
 
kwahiyo magaidi wale wanaojilipua na kuua watu wasio na hatia ktk masoko na mikusanyiko ni wajanja na matendo yao huleta faida kwa wanadamu?? aisee...

Hapana ni kinyume chake:

Kusema uongo mbele ya kadmanasi ya mataifa (UN) kwamba fulani ana "silaha za maangamizi", hali ya kujua ni uongo.
Kuvamia nchi za watu, kupindua serikali zao na kuteketeza mamilioni ya roho za watu , sio elfu 3, na kuwalazimisha kutawaliwa na ma-puppets.

Na hivi karibuni tu tutaingizwa katika valangati jengine bila ya kutaka dhidi ya Iran ambapo roho kibao zitateketea.

Wanaofanya haya sio magaidi na wanaoufanya sio ugaidi
Roho wanazoziteketeza ndio zenye hatia ya kuuliwa bure bure tu,
Roho hizo zinazoteketezwa ovyo ovyo tu zooooooote hutokea kwenye viwanja vya vita maana utakatifu wa majumbani mwao, nchini mwao, misikitini mwao, yoooooote ni viwanja vya vita tu.

Au sioooooo, ua tu migaidi hiyo, kwanini?
Kinamama, kwakuwa wamevaa hijabu, migaidi hiyo, ua tu!!!
Watoto, kwakuwa wanahudhuria madrasa, vigaidi hivi, ua tu !!!
Vijana, kwa kuwa wanashikamana na dini yao na kujaribu kuamsha jamii zao kwa namna ya maelekezo ya dini yao,na kutokuwa wateja wa mila na tamaduni za kiovu ovu hata katika standard za kikristo, mbali ya uislamu, basi kwanini, magaidi hao, ua tu.

Au sio.
 
Back
Top Bottom