yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,553
- 3,515
Habari wakuu!
Ninafanya biashara za kuchaji simu, lakini bahati mbaya sijabahatika kupata charger nzuri zinazovumilia na kuchaji haraka (heavy duty).
Naombeni ushauri ninunue charger brand ipi na nizipate sehemu gani hapa Dar?
Shukrani.
Ninafanya biashara za kuchaji simu, lakini bahati mbaya sijabahatika kupata charger nzuri zinazovumilia na kuchaji haraka (heavy duty).
Naombeni ushauri ninunue charger brand ipi na nizipate sehemu gani hapa Dar?
Shukrani.