tilmikha
JF-Expert Member
- Feb 27, 2013
- 496
- 604
Habari zenu wapendwa!
Kwanini nimeanza chapter 001 na kuanza kuelezea maana halisi ya ndoto zinazohusiana na kifo? Kifo sio kigeni kwetu na wengi tumeshaondokewa na wapendwa wetu si mmoja sio wawili. Nimechagua kuanza kufasiri maana ya ndoto zihusiano na kifo kwa kuwa mauti ndio mlango pekee wakuendea katika maisha halisia na wafu ndio pekee wanaoishi haya maisha halisi.
MAUTI
Mauti katika ndoto ni majuto kutokana na jambo kubwa mno ambalo litamtokea muotaji wake. Hivo basi atakaeota amefariki kisha akaishi tena basi maana yake atatenda dhambi kisha atatubia.
Na atakae ota amefariki pasi na kuumwa wala kupata hekaheka zaa umauti basi ataishi umri mrefu.
Na atakae ota kwamba hatakufa basi kufa kwake kupo karibu.
Na atakae ota kiongozi wa nchi amefariki basi huo mji utaharibika kama ilivyo kuota kuharibika kwa mji dalili ya kufa kiongozi. Na atakaae muota mtu maarufu ambae alishakufa kuwa amekufa tena na watu wakamlilia pasi na kupiga makelele ya maaombolezo basi muotaji ataoa ama kuolewa . Ila inawezekana pia kumuota mtu aliefariki amefarriki ikawa maana yake kwenye kizazi cha muotaji au alieotwa akafariki mtu mwengine.
Na atakae ota watu waamefariki kutokana na janga fulaani katika eneo fulani basi eneo hilo litapata janga.
Na atakae ota amefariki hali yakua yupo uchi basi maana yake atafilisika yaani atakua fukara.
Na akiojiona amelala juu ya busati basi atapata manufaa kutoka kwa watu wa nyumbani kwake, na akiota amepata maiti basi atapata mali.
Na akiota ameletewa habari ya mtu amefariki maana yake itamjia habaari ya kuharibika dini yake na kutengenea dunia yake.
Na akiota mtoto wake wa kiume amefariki basi maana yake atachomokaa kwa adui yake. Na akiota mtoto wake wa kike amefaariki basi atakata tamaa juu ya kupata faraja.
Na akiota kuna mtu anampa habari juu ya kifo cha mtu fulani basi atapata habari ya jambo la mauti ya mtu ambalo litapekea msongo wa mawazo mkubwa ambao ndio utakua sababu ya kufa kwake.
Mama mjamzito akiota amefariki na watu wakambeba huku wakawa wanalia kistarabu yaani kilio ambacho haakiambatani na kujipiga wala kuchana nguo, basi atazaa mtoto wa kiume na atafurahikia uzazi wake huo.
Single man/ single woman akiota amekufa maana yake ataoa / ataolewa.
MAOMBOLEZO
Nikizungumza maombolezo namaanisha kilio ambacho kimeambatana na kelele ama kuchana nguo, hivo basi mtu akiota kuna eneo watu wanomboleza maana yake ni kua hilo eneo litapaata balaa kubwa ambalo litakua sababu ya kuangamia hilo eneo.
KILIO
Kilio kwenye ndoto ikiwa ni machozi tu yanaatoka pasi na sauti za kulia kwa makelele maana yake huyo mtu atapata jambo lenye kumfurahisha na akiota kinyume chake basi maana yake atapata msongo wa mawazo.
to be continue.......
ila ukiota mtu ambae ashafariki anakwambia kuwa utafariki basi jua utafariki kweli kwasababu deads aren't lying.
Kwanini nimeanza chapter 001 na kuanza kuelezea maana halisi ya ndoto zinazohusiana na kifo? Kifo sio kigeni kwetu na wengi tumeshaondokewa na wapendwa wetu si mmoja sio wawili. Nimechagua kuanza kufasiri maana ya ndoto zihusiano na kifo kwa kuwa mauti ndio mlango pekee wakuendea katika maisha halisia na wafu ndio pekee wanaoishi haya maisha halisi.
MAUTI
Mauti katika ndoto ni majuto kutokana na jambo kubwa mno ambalo litamtokea muotaji wake. Hivo basi atakaeota amefariki kisha akaishi tena basi maana yake atatenda dhambi kisha atatubia.
Na atakae ota amefariki pasi na kuumwa wala kupata hekaheka zaa umauti basi ataishi umri mrefu.
Na atakae ota kwamba hatakufa basi kufa kwake kupo karibu.
Na atakae ota kiongozi wa nchi amefariki basi huo mji utaharibika kama ilivyo kuota kuharibika kwa mji dalili ya kufa kiongozi. Na atakaae muota mtu maarufu ambae alishakufa kuwa amekufa tena na watu wakamlilia pasi na kupiga makelele ya maaombolezo basi muotaji ataoa ama kuolewa . Ila inawezekana pia kumuota mtu aliefariki amefarriki ikawa maana yake kwenye kizazi cha muotaji au alieotwa akafariki mtu mwengine.
Na atakae ota watu waamefariki kutokana na janga fulaani katika eneo fulani basi eneo hilo litapata janga.
Na atakae ota amefariki hali yakua yupo uchi basi maana yake atafilisika yaani atakua fukara.
Na akiojiona amelala juu ya busati basi atapata manufaa kutoka kwa watu wa nyumbani kwake, na akiota amepata maiti basi atapata mali.
Na akiota ameletewa habari ya mtu amefariki maana yake itamjia habaari ya kuharibika dini yake na kutengenea dunia yake.
Na akiota mtoto wake wa kiume amefariki basi maana yake atachomokaa kwa adui yake. Na akiota mtoto wake wa kike amefaariki basi atakata tamaa juu ya kupata faraja.
Na akiota kuna mtu anampa habari juu ya kifo cha mtu fulani basi atapata habari ya jambo la mauti ya mtu ambalo litapekea msongo wa mawazo mkubwa ambao ndio utakua sababu ya kufa kwake.
Mama mjamzito akiota amefariki na watu wakambeba huku wakawa wanalia kistarabu yaani kilio ambacho haakiambatani na kujipiga wala kuchana nguo, basi atazaa mtoto wa kiume na atafurahikia uzazi wake huo.
Single man/ single woman akiota amekufa maana yake ataoa / ataolewa.
MAOMBOLEZO
Nikizungumza maombolezo namaanisha kilio ambacho kimeambatana na kelele ama kuchana nguo, hivo basi mtu akiota kuna eneo watu wanomboleza maana yake ni kua hilo eneo litapaata balaa kubwa ambalo litakua sababu ya kuangamia hilo eneo.
KILIO
Kilio kwenye ndoto ikiwa ni machozi tu yanaatoka pasi na sauti za kulia kwa makelele maana yake huyo mtu atapata jambo lenye kumfurahisha na akiota kinyume chake basi maana yake atapata msongo wa mawazo.
to be continue.......
ila ukiota mtu ambae ashafariki anakwambia kuwa utafariki basi jua utafariki kweli kwasababu deads aren't lying.