Mwl Mwakujonga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 286
- 582
Kijana mmoja aliniuliza swali akaniambia alikuwa amekwenda sehemu kikazi akawa amechukua chumba cha kulala
Anasema alipolala aliota Ndoto aliota kuna Mkaka anamwingilia kinyume cha maumbile na anamfahamu na aliposhtuka kwenye Ndoto alijiskia Vibaya Sana akaniuliza maana yake nini?
Mosi
Unapandikizwa roho ya mauti ndani yako, ambayo lengo lake ni kuua kile kitu cha thamani ndani yako, kuua Imani yako ,etc
Mambo ya Walawi 20:13 “Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.”
Pili
Unapandikizwa roho ya kukataliwa Au kutengwa na wenzako, neno chukizo ni Jambo ambalo kwa jamii halikubaliki unatengwa na jamii ya kwako.
Mwanzo 43:32 “Wakamwandalia yeye peke yake, na wao peke yao, na wale Wamisri waliokula pamoja naye peke yao; maana Wamisri hawawezi kula pamoja na Waebrania, kwa kuwa ni chukizo kwa Wamisri.”
Tatu
Unayang'anywa nafasi yako yakuwa mrithi wa ufalme wa Mbinguni
1 Wakorintho 6:9 “Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti”
Nne
Umechafuliwa kiroho, ili uwepo wa Mungu Ukae mbali na wewe, rejea hapo Law 20:13
Tano
Unajulishwa kuna mbegu za ushoga imepandikizwa kwako ambayo isipoondolewa kwa Damu ya Yesu, itachipuka katika Maisha yako ya baadae
Mathayo 5:27-28 “Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini; lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.”
Anasema alipolala aliota Ndoto aliota kuna Mkaka anamwingilia kinyume cha maumbile na anamfahamu na aliposhtuka kwenye Ndoto alijiskia Vibaya Sana akaniuliza maana yake nini?
Mosi
Unapandikizwa roho ya mauti ndani yako, ambayo lengo lake ni kuua kile kitu cha thamani ndani yako, kuua Imani yako ,etc
Mambo ya Walawi 20:13 “Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.”
Pili
Unapandikizwa roho ya kukataliwa Au kutengwa na wenzako, neno chukizo ni Jambo ambalo kwa jamii halikubaliki unatengwa na jamii ya kwako.
Mwanzo 43:32 “Wakamwandalia yeye peke yake, na wao peke yao, na wale Wamisri waliokula pamoja naye peke yao; maana Wamisri hawawezi kula pamoja na Waebrania, kwa kuwa ni chukizo kwa Wamisri.”
Tatu
Unayang'anywa nafasi yako yakuwa mrithi wa ufalme wa Mbinguni
1 Wakorintho 6:9 “Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti”
Nne
Umechafuliwa kiroho, ili uwepo wa Mungu Ukae mbali na wewe, rejea hapo Law 20:13
Tano
Unajulishwa kuna mbegu za ushoga imepandikizwa kwako ambayo isipoondolewa kwa Damu ya Yesu, itachipuka katika Maisha yako ya baadae
Mathayo 5:27-28 “Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini; lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.”