Chapa Chapa: Katibu Mkuu Kiongozi yuko wapi?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,478
40,000
Kwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?

Wakoloni (Wajerumani hasa) walitumia Sana huu utaratibu wa kuchapa watu wazima pale Bomani (kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya). Na watu wazima wanakubali vipi kuchapa na mtu mzima mwingine? Kwa sababu hawataki au wanaogopa kupoteza kazi?
 
Si wewe ndo ulikuwa unapigania apewe mitano tena???? Ndo mjifunzege kutumia akili zenu vizuri kwa wakati sahihi. Tulipokuwa tunasema hawa watu hawafai kuendelea kuongoza Tanzania mlikuwa mnadhani hatuna akili. Sasa ndo muone kuwa ni nyie ambao mlikuwa hamtumii akili zenu vizuri.
Kwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?
 
Kwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?

..nadhani aliyepaswa kulisemea hili ni Raisi, Waziri Mkuu, au Waziri mwenye dhamana na wakuu wa wilaya.

..waliocharaza viboko wananchi ni wateule wa kisiasa wa Raisi, kwa kawaida wanaadhibiwa na mamlaka hizo hapo juu.
 
Mkuu wa wilaya na Naibu waziri waliohusika kutandika bakora watu hadharani ni viongozi walioteuliwa na rais Magufuli mwenyewe tena kwa mbwembwe.

Kama aliyewateua (Rais Magufuli) angekuwa hajafurahishwa na hilo jambo, nina uhakika kwa 100% hao wateuliwa wasingedumu kwenye hizo nyanzifa hata kwa siku moja, wangekuwa wameshatumbuliwa within few hours.

Katika hali hii, Katibu mkuu afanye nini?
 
Kwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?

Wakoloni (Wajerumani hasa) walitumia Sana huu utaratibu wa kuchapa watu wazima pale Bomani (kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya). Na watu wazima wanakubali vipi kuchapa na mtu mzima mwingine? Kwa sababu hawataki au wanaogopa kupoteza kazi?
20210105_224150.jpg
 
Kwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?

Wakoloni (Wajerumani hasa) walitumia Sana huu utaratibu wa kuchapa watu wazima pale Bomani (kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya). Na watu wazima wanakubali vipi kuchapa na mtu mzima mwingine? Kwa sababu hawataki au wanaogopa kupoteza kazi?
Na hata wewe mzee utandikwe tu ili mkome kuwa mashabiki maandazi
 
Kwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?

Wakoloni (Wajerumani hasa) walitumia Sana huu utaratibu wa kuchapa watu wazima pale Bomani (kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya). Na watu wazima wanakubali vipi kuchapa na mtu mzima mwingine? Kwa sababu hawataki au wanaogopa kupoteza kazi?

Katibu mkuu( General Secretary) wa chama cha mapinduzi CCM, yeye ndie msimamizi mkuu wa ilani ya CCM( Chama tawala), ilani inayotumika kutoa muongozo wa utekelezaji wa shughuli za serikali kwa miaka mitano ijayo( 2020-2025)

Watendaji wote wa serikali kwa sasa wanatekeleza majukumu yao kutokana na muongozo wa ilani ya CCM( 2020-2025)

Endapo ilani hiyo itafeli au kushindwa kutekelezwa ipasavyo, mtu wa kwanza kuulizwa na kuwajibika kwa kufeli huko, ni latibu mkuu wa CCM, kwa nafasi yake kama msimamizi mkuu wa ilani hiyo

Kwa hiyo katibu mkuu wa CCM anayo haki ya kutoa onyo kwa mtendaji yeyote wa serikali, ikiwa anaona mtendaji huyo ni kikwazo kwenye kutekeleza ilani ya chama chake( chama tawala kwa wakati huo)

Isipokuwa sasa, katibu mkuu wa CCM hana mamlaka ya kisheria ya kumuadhibu mtendaji yeyote wa serikali, Watendaji wa serikali wanaadhibiwa na mamlaka yao ya nidhamu
 
Kwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?

Wakoloni (Wajerumani hasa) walitumia Sana huu utaratibu wa kuchapa watu wazima pale Bomani (kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya). Na watu wazima wanakubali vipi kuchapa na mtu mzima mwingine? Kwa sababu hawataki au wanaogopa kupoteza kazi?

Kama wameingia madarakani kwa wizi wa kura na umwagaji damu, na wananchi wako kimya kwa hofu, kuwachapa fimbo makondoo wanaogopa nini? Viongozi wameshajua watanzania ni makondoo, hivyo wanawafanyia lolote watakalo.
 
Nasikitika Mwanakijiji kuhamisha gori hata kwa jambo hili! mkuu wa mkoa aliwapiga wanafunzi tena kwa nguvu zote! tz ilisimama ikisubilia kauli ya mteule wake! unakumbuka kilichotokea!

JPM mwenyewe kwa mdomo wake akapongeza na kuongeza kauli waendelee kupigwa! baada ya hapo kila mmoja anainua mkono kupiga! et leo unamtupia lawama katibu kiongozi kweli?

Naibu waziri ni mteule wa Rais mamlaka ya kumwadhibu ni anayesifia viboko! usimpende mtu bila kuyachukia mabaya yake! huu mtindo mbovu ni wa JPM hebu mbebeshe yeye
 
Kwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?

Wakoloni (Wajerumani hasa) walitumia Sana huu utaratibu wa kuchapa watu wazima pale Bomani (kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya). Na watu wazima wanakubali vipi kuchapa na mtu mzima mwingine? Kwa sababu hawataki au wanaogopa kupoteza kazi?
Tatizo kubwa wote wanaotakiwa kulikemea hilo hawajui msimamo wa MZEE BABA!!unaweza kulikemea kesho akaibuka na kuwapongeza hao wanaowachapa!!utajisikiaje?!!ila ngoja iabuke na kulikemea utawaona sasa viongozi wote ndio wanajifanya kulikemea!!!utumwa wa fikra ni mbaya sana!!
 
Mkuu wa wilaya na Naibu waziri waliohusika kutandika bakora watu hadharani ni viongozi walioteuliwa na rais Magufuli mwenyewe tena kwa mbwembwe.

Kama aliyewateua (Rais Magufuli) angekuwa hajafurahishwa na hilo jambo, nina uhakika kwa 100% hao wateuliwa wasingedumu kwenye hizo nyanzifa hata kwa siku moja, wangekuwa wameshatumbuliwa within few hours.

Katika hali hii, Katibu mkuu afanye nini?
Waliochapwa ni wateule wa Rais?
 
Back
Top Bottom