Borat69
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,522
- 1,761
Uko makao makuu au wamekuhamishia Mtwara afande!?Nani alikuwa na marehemu kabla hajauwawa ambaye wali hesabu wote zile hela?acheni ushabiki wa ajabu ajabu,marehemu alimjeruhi polisi kituoni kwa hasira za gari lake kukamatwa,kisha akaimbilia kwake,alikuwa amelewa na confused,akaenda kwa jirani akakwapua combat,alipoona nyumba imezingirwa akajipiga risasi tumboni,mkewe aliruka na kumkumbatia akimbembeleza asijue,yeye aakmuamrisha mkewe aondoke mara moja ama sivyo atamuuwa,kitendo cha mkewe kumpa nafasi akajiongeza ya pili usoni.Suala la risasi mbili au tatu mwilini sio issue,inategemea amejipiga wapi.Kama angekuwa na matundu mawili ya risasi kichwani then hio ni habari nyingine,lakini tumboni alafu kichwani ni kitu cha kawaida.Mimi sitetei polisi ila tu nawashangaa mnajadili sana bila kuulizia maendeleo ya askari aliyepigwa risasi kadhaa na marehemu,bila shaka angeuwawa polisi mgesema ni sawa
Mwili umekutwa na matundu ya risasi mbili tumboni na risasi kichwani. Hivi unajua shock mwili inayopata ukijipiga au kupigwa risasi mwilini? Let alone kujipiga risasi mbili tumboni halafu bado ukawa na nguvu ya kujipiga risasi ya kichwa!!! Lini umeshawahi kusikia mtu aliyetaka kujiua akajipiga risasi tatu??? Tumia akili kuchanganua habari Usilete stori za kitoto hapa ukafikiri wote ni wapu.uzi. Kama umezoea kutumia mshale,nenda kaulize vizuri wanaoelewa matumizi ya silaha za moto..."Eti kajipiga risasi ya tumbo na akamuamrisha MKE wake aondoke mara moja AMA sivyo atamuua" unafikiri movie ya kihindi hiyo. Mwili umekutwa na matundu mawili tumboni na moja kichwa ya risasi.Au alikuwa anatumia risasi FEKI kutoka China. Jipange Afande.
Jinsi ulivyoandika habari yako wewe mwenyewe unajikanyaga hujui hata unaongelea nini. Jipange urudi upya.