Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,188
Wakati sekeseke la ushoga likiendelea kutingisha nchini Tanzania, nimepenyezewa taarifa kuwa, chanzo cha baadhi ya wanaume walioko ama waliowahi kuwa kwenye ndoa kuwa mashoga ni kuzindikwa dawa na wake zao ili wasitoke nje ya ndoa.
Mazindiko ya dawa yapo ya aina nyingi lakini maarufu ni tatu:
- Mke na mume kung'ang'aniana kitandani wakati wa tendo la ndoa.
- Mke kunywa dawa ambapo mwanaume akiwa katika kufanya ngono, mwanamke anaumwa sana ya hadi kutaka kufa.
- Mwanaume akikutana na mwanamke, jogoo linakataa kusimama.
Kama mke wako amekuzindika dawa ya jogoo kulala kila unapokutana na mwanamke mwingine, basi ujue uko hatarini ya kubakia hivyo milele, ikitokea kwa bahati mbaya mke wako akafariki ghafula kwa aidha ajali, au kitu chochote kinachopelekea kukosekana muda wa kukuzidua.
So, ikitokea ukagundua siku umelala na mwanamke nje ya ndoa na jogoo kulala, fanya hima muombe sana mke wako akuzindue kwani madhara yake ni makubwa sana, huwezi jua ya Mungu.
Madhara yanayotokea endapo mwenzawako amefariki ndiyo hilo la kubadilika na kuwa shoga.
Wataalam wa masuala haya labda watufafanulie zaidi ukweli wa hii kitu.