Hili gazeti ndio dawa yake maana leo limekuja na unafiki. Eti ni lowassa? Huku limeweka picha ya nyerere akishika kichwa kama anashangaa. Bora kabisa halija somwaNimesikitishwa sana na kitendo kilichofanywa na mtangazaji was channel ten kwa kulibagua kwa makusudi gazeti la RAIA mwema lililokuwa na kichwa kikubwa cha habari "ni lowasa...". Sitaki kuamini kuwa kituo hiki kimepewa maelekezo kutweza habari za mgombea wa ukawa. Mara kadhaa kumekuwa na malalamiko ktk mitandao ya kijamii na hats pia kijiweni kwetu kuwa, kituo hiki kimekuwa kikipotezea kuonesha habari za lowasa, na uongozi was channel ten haujawahi kutolea Maelezo juu ya kero hii. Najua NEC na TCRA wako makini na wanafuatilia Tania hii ambayo pamoja na kuwa ni kero kwetu lakini pia in uvunjaji wa sheria na kanuni za hili gemu