Channel Ten wakwepa kusoma Raia Mwema

Channel Ten wakwepa kusoma Raia Mwema

gabatha

Senior Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
135
Reaction score
57
Leo katika uchambuzi wa magazeti asubuhi, mtangazaji amekwepa kulisoma gazeti la Raia Mwema kwa makusudi kwa kuwa habari kuu ilikuwa inamzungumzia Lowassa. TCRA wawachukulie hatua hiki kituo kwa kukiuka maadili ya uandishi wa habari.

Ushauri wangu kwa channel ten, ni bora msingeliweka mezani hilo gazeti kuliko mlivyofanya leo maana watazamaji tumeona kilichofanyika.

Shame on you Choose. Ten!!
 
gazeti linaloandika habari zenye mlengo wa kichama litasomwa kwenye vyombo vya habari vya chama husika kwa sababu hazilengi kuwasaidia wale wasiokuwa wanachama wa chama husika
 
gazeti linaloandika habari zenye mlengo wa kichama litasomwa kwenye vyombo vya habari vya chama husika kwa sababu hazilengi kuwasaidia wale wasiokuwa wanachama wa chama husika

Kama TBC wanavyosoma gazeti la Uhuru. Kumbe hiki ni chomba cha habari cha chama tawala! Miaka yote nilikuwa nafikiri ni cha umma!!
 
Walishatangaza lipi la UKAWA???? tunawajua hao wala hatuwahitaji....Lowassa hahitaji vituo vya TV kufanya kampeni zake hata wote waki susa MWENDO MDUNDO....
 
Una tatizo fulani kichwani, na sio dogo jaribu kumwona dakitari.


gazeti linaloandika habari zenye mlengo wa kichama litasomwa kwenye vyombo vya habari vya chama husika kwa sababu hazilengi kuwasaidia wale wasiokuwa wanachama wa chama husika
 
Kama TBC wanavyosoma gazeti la Uhuru. Kumbe hiki ni chomba cha habari cha chama tawala! Miaka yote nilikuwa nafikiri ni cha umma!!

usipoamua kujiondoa fikra ukafanya tathmin yakinifu utaelewa udhaifu wa TBC
 
Kama TBC wanavyosoma gazeti la Uhuru. Kumbe hiki ni chomba cha habari cha chama tawala! Miaka yote nilikuwa nafikiri ni cha umma!!

Ndio maana TBC haohao hawawezi kusoma gazeti la TANZANIA DAIMA, taratib utaelewa
 
gazeti linaloandika habari zenye mlengo wa kichama litasomwa kwenye vyombo vya habari vya chama husika kwa sababu hazilengi kuwasaidia wale wasiokuwa wanachama wa chama husika

Mbona gazeti la uhuru lilisomwa jamani au hatuna macho?
 
Kuanzia sasa usisome Mtanzania na kuangalia Channel ten
 
Walishatangaza lipi la UKAWA???? tunawajua hao wala hatuwahitaji....Lowassa hahitaji vituo vya TV kufanya kampeni zake hata wote waki susa MWENDO MDUNDO....

Jana Chn10 wameonesha mkutano wa Magufuri kwa hujuma kubwa sana, eti kamera hazizunguki mda wote wao wanamwonesha meongeaji pekee yake as if hakuna hadhira ..sijawai kuona fanani asiye na hadhira ila niliona jana Chn10 ..ilipofika zamu ya Lowassa wakaonesha mpaka sisimizi na anga linakoishia kwa juu kushikana na ardhi ( horizon) ..haya ndo maajabu ya Chn10, wanafanya mambo bila Uhuru wa wanachokifanya
 
Haya Magazeti ya Raia mwema na Raia Tanzania siku zote yamekuwa ynaiandika ukawa vibaya na kuishabikia CCM na ACT. Sasa wamesemwa sana kwa hilo na kukumbushwa kwamba umaardufu wa hili gazeti ul;itokana na wao kuzungumza lugha moja na rais wa kawaida wanaotka mabadiliko. Kwa sasa inaonekana wamenunuliwa maalum kwa ajili ya kampeni za ccm. Siku moja moja wanajaribu kuandika kidogo vizuir kuhusu ukawa ili tuiswashtukie lakini hawa jamaa ni wa kuwapa adhabu ili wapotee kabisa. baada ya uchaguzi tuone km CCM watawapa pesa za kuendeshea hilo gazeti. Tusipumbazwe na raia mwema. wapo kwa shughuli aalum kipindi hiki cha uchaguzi.
 
mnaongelea tbc wakati tulishaisahau kama ipo itv mpango mzima
 
Mtarban hebu tuambie je gazeti la Uhuru pia halikusomwa? Kama halikusomwa basi hoja yako ina mashiko lakini kama lilisomwa basi Gabatha yuko sahihi.
 
gazeti linaloandika habari zenye mlengo wa kichama litasomwa kwenye vyombo vya habari vya chama husika kwa sababu hazilengi kuwasaidia wale wasiokuwa wanachama wa chama husika

UTAKUTA HUYU N MSOM WA ET CHUO KIKUU DA MASKN JAMAN UWEZO WAKE WA KUFKR NDO UMEISHIA HAPO, HAYO NDO MADHARA YA KUPUNGUZA MAKS IL YULE ALIE FEL AONEKANE KAFAULU ww ulipata iv ya 47 jambo leo,mzalendo, uhuru zanziba leo unayajua kwel? KWANN YANASOMWA NA VITUO VYOTE? NDO MAANA ELIM ELIM ELIM IL HATA WW UWE MIONGON MWA WATAKAO RUDIA IL USOME BILA PRESHA GAZET HILO LILI KUWA KICHWA KINACHOSEMA NI "LOWASA?"
 
Hili gazeti ndio dawa yake maana leo limekuja na unafiki. Eti ni lowassa? Huku limeweka picha ya nyerere akishika kichwa kama anashangaa. Bora kabisa halija somwa
 
Nimesikitishwa sana na kitendo kilichofanywa na mtangazaji was channel ten kwa kulibagua kwa makusudi gazeti la RAIA mwema lililokuwa na kichwa kikubwa cha habari "ni lowasa...". Sitaki kuamini kuwa kituo hiki kimepewa maelekezo kutweza habari za mgombea wa ukawa. Mara kadhaa kumekuwa na malalamiko ktk mitandao ya kijamii na hats pia kijiweni kwetu kuwa, kituo hiki kimekuwa kikipotezea kuonesha habari za lowasa, na uongozi was channel ten haujawahi kutolea Maelezo juu ya kero hii. Najua NEC na TCRA wako makini na wanafuatilia Tania hii ambayo pamoja na kuwa ni kero kwetu lakini pia in uvunjaji wa sheria na kanuni za hili gemu
 
Back
Top Bottom