Eghorohe
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 220
- 79
Nimekuwa nikifuatilia taarifa ya habari ya Channel Ten ya saa moja jioni inaboa sana! Utaambulia picha tu sauti ya Bolingo za Radio Magic FM inasikika kwenye TV. Mwanzoni nikajua ni kosa la kiufundi kwa siku moja tu, kumbe ni kama ada! Kila siku hivyo hivo, acheni mambo ya ajabu na ubabaishaji kazi kuajiri watu wasio skilled ili muwalipe mishahara mbuzi!
Ovyoo!
Ovyoo!