Boutafrica
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 953
- 2,068
Ile tv nahisi haina mmiliki yan ipo ipo tu......
wameambukizwa laana ya albadiri aliyosomewa DAB.Kwa sasa ni kituo cha ovyo kuliko vyote hapa nchini.Quality ya ovyo.Inaweza ku scractch na kukata picha na sauti mfululizo kwa muda mrefu as if hawana watu wanaoshughulikia ubora wa natangazo yao.Ni kero.Hata magic fm vilevile inaweza kuzima ghafla na kukaa muda nrefu blia kurudi hewani.