Sasa na wewe si ukachanje au uache tu?
Unataka muongozo wa serikali isiyojua itakacho? Waziri na naibu wake walioongoza kupinga uwepo wa corona, wakaoinga chanjo, wakaongoza kampeni za kula mananasi, machungwa, mabungo, maparachichi na mafenesi na kujifukiza kwamba ndiyo kinga dhidi ya corona na si hizo chanjo.
Kama serikali ingekua serious ilitakiwa hao wawili wawekwe kando kwanza, kuliko kuongozwa na vigeugeu wasiijua wanachokisimamia