Faida ya chanjo imezirudisha nchi nyingi hasa za Ulaya, China, USA, CANADA, SOUTH KOREA ETC katika uchumi wao wa kawaida. Yaani wanaitwa nchi zilizoendelea.
Wananchi wao wamepata chanjo na sasa hawana tena hofu na ugonjwa wa CORONA. HUDUMA ZA JAMII, STAREHE, N.K ZIMERUDI KAMA KAWAIDA.
Hapa kwetu awamu ya tano tena bila aibu ikatuambia tutumie njia za asili yaani tukapoteza mamilioni kujenga sehemu ya kujifukiza hapo Muhimbili huku watu wanateketea. Waziri wa Afya bado yupo. Inashangaza kuona hakuondolewa katika Baraza la Mawaziri wa Awamu ya Sita.
Jopo la Wataalam limetoa mapendekezo yake na yakitekelezwa tutarudi katika uchumi bora sana yaani mishahara itapanda, watalii mabilionea original kama wanaokwenda Kenya mfano wataongezeka na watu wa aina hii huwa wanakuja na wapambe kibao(wengi) ,vivyo hivyo wawekezaji wakubwa watakuja kuwekeza.
Tukifanikiwa kufuata ushauri wa kamati kuhusu CORONA miradi mingi itaongezeka, HOFU miongoni mwa hawa wachache niliowataja itaondoka.
Leo tu kwa wapenzi wa soka la England viwanja vimeanza kufurika watu.
Baada ya mapendekezo ya ripoti ya wataalam kuhusu corona kutolewa,sasa ni wakti muafaka kwa Waziri wa Afya kuachia ngazi.Katutia aibu kubwa duniani.
#KWA JINA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA #KAZI IENDELEE.
Wananchi wao wamepata chanjo na sasa hawana tena hofu na ugonjwa wa CORONA. HUDUMA ZA JAMII, STAREHE, N.K ZIMERUDI KAMA KAWAIDA.
Hapa kwetu awamu ya tano tena bila aibu ikatuambia tutumie njia za asili yaani tukapoteza mamilioni kujenga sehemu ya kujifukiza hapo Muhimbili huku watu wanateketea. Waziri wa Afya bado yupo. Inashangaza kuona hakuondolewa katika Baraza la Mawaziri wa Awamu ya Sita.
Jopo la Wataalam limetoa mapendekezo yake na yakitekelezwa tutarudi katika uchumi bora sana yaani mishahara itapanda, watalii mabilionea original kama wanaokwenda Kenya mfano wataongezeka na watu wa aina hii huwa wanakuja na wapambe kibao(wengi) ,vivyo hivyo wawekezaji wakubwa watakuja kuwekeza.
Tukifanikiwa kufuata ushauri wa kamati kuhusu CORONA miradi mingi itaongezeka, HOFU miongoni mwa hawa wachache niliowataja itaondoka.
Leo tu kwa wapenzi wa soka la England viwanja vimeanza kufurika watu.
Baada ya mapendekezo ya ripoti ya wataalam kuhusu corona kutolewa,sasa ni wakti muafaka kwa Waziri wa Afya kuachia ngazi.Katutia aibu kubwa duniani.
#KWA JINA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA #KAZI IENDELEE.