mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,894
- 106,185
Mbona Philip mpango anaishi hukoKuliko kuishi Chanika Bora ukaishi ukanda wa gaza
Ova
Mbona Philip mpango anaishi hukoKuliko kuishi Chanika Bora ukaishi ukanda wa gaza
kiramani hayuko chanika, yuko NzasaMbona Philip mpango anaishi huko
Ova
Hakika, japo kina FaizaFoxy na Mohamed Said wanaweza wakapinga sana hili ila huo ndio ukweliKatika Uswahili tunapaswa kujivunia tu Lugha, Salamu na Ukarimu [Ule usio wa kinafiki]
Ukiacha hayo Uswahili ni Ujinga ujinga, tabia za hovyo zilizojaa chuki, Uzembe, husuda, Fitina, kutojali Muda, Kutofanya kazi kwa bidii, kutopenda Elimu na Maarifa
Hovyo tu
Kweli akutukanaye hakuchagulii tusi la 😁😁😁Ukipanda daladala ya chanika kutoka mjini,
Njiani mnasimama kula na kuchimba Dawa.
Hata Nyerere alikuwa anaishi magomeni haiondoi kuwa magomeni sio uswaziMbona Philip mpango anaishi huko
Ova
Oh sijui wanaokaa Masaki,sijui Mbweni,sijui Mbezi Beach,sijui Mikocheni,sijui Bahari Beach and blah blah eti hawajui maisha,watoto wasio na maisha,wanakuja kufeligi maisha na ujinga mwingine kibaoUswahili uliopo Chanika hauna maana zaidi ya kuproduce generation ya ovyo.
Suluhisho panahitaji wahamiaji wengi kutoka Mikoa ya bara wa overtake wazawa mji ukae kwenye msitari.
KabisaHao wamekimbizwa kutoka katikati ya jiji wamehamia huko na huko mmewafuata waende wapi tena huko ndiyo wamefika hao wazaramo
Sasa Philip Mpango ana sense of style?Mbona Philip mpango anaishi huko
Ova
Dar sio kubwa sema imejengekaNimeishi dar miaka mingi sikuwahi kufika chanika.... Juzi kati hapo mtu akaniambia ebu njoo maeneo flani chanika chap Kuna nshu, alooo nikajua ni hapo tu daaah ni mbali kinoma kama unaenda chalinze.. Dar kubwa aisee ila sitamani kufika tena huko
Kweli kabisa wapemba wakiingia mahali uswahili unapungua sana Nimeshuhudia hili kiwalani baada ya wapemba kuanza kuwanunua.Wagemi nao wakikaa kwa muda "WANAKOPI NA KUPESTI" huo uswahili ili kuendana na MAZINGIRA..
Hiyo sio dawa kuondoa/kumaliza uswahili.
Omba wapemba waje waanze kuwanunua (kununua nyumba zao) ili wawakimbize..
Niambie wewe unaishi wapi penye unafuu wa usafiriChanika sio sehemu ya kukaa ni vile tu mjini kumejaa na huko ni rahisi kupata kiwanja tena kwa gharama nafuu..
Chanika kupo mbali sana na mji, mfano kutoka tu chanika kwenda K/Koo ni mtiti, Chanika kwenda Mawasiliano pia ni hivyo hivyo.
Usafiri nyakati za jioni ni shida labda uwe na Private car lakini kwa public transport utaenyeka na kufika nyumbani majogoo.
Barabara za BRT phase 3 zinatengenezwa kufika huku Gongo la mboto lakini itasolve sehemu ndogo sana ya shida ya usafiri kwa maana Hiki kipande cha kutoka JINA, Mombasa, G/mboto, kuelekea mpaka Chanika kuna watu wengi mno na wengine ndo wanazidi kuongezeka.
Ndio mimi nikauliza bunju kuja kaliakoo , theni chanika kuja machinga wapi mbaliMnaosema Chanika ni mbali mnalinganisha na wapi?
Yaani hata mtu anaekaa Bunju anasema eti Chanika mbali
Chakx ipi mnayo zungumzia Ibrahim ajibu yuko huko philipo mpango yuko huko, na wengine wengi
Niambie wewe unaishi wapi penye unafuu wa usafiri
Bora kuishi chanika kwenye nyumba yako kuliko kupanga masaki....kwenye nyumba za wanaume wenzako na kukatamba kwamba pazuri