Nyie inaelekea hata hao mnaowamiliki ,mnawanyuka kimashakamashaka,we khadija ikae wazi pale ikushinde?mi hata ya nzi nikiiona inashughulisha ndo itakuwa ya binadamu mwenzangu!mkuu watu wanakuwaga na ujasiri gani hadi wanafanikiwa kuduu,mi nilishindwa mkuu,ngoma haikusimama,yaani hata kuonyesha dalili kidogo za kufanikiwa hamna....buku 3 yangu ikaenda kireja reja
Nyie inaelekea hata hao mnaowamiliki ,mnawanyuka kimashakamashaka,we khadija ikae wazi pale ikushinde?mi hata ya nzi nikiiona inashughulisha ndo itakuwa ya binadamu mwenzangu!
Duh asante sana Kozo, nimecheka weeee, umenisaidia sana maana leo nilianza kuboreka toka asubuhi.
Lakini kaka Konzo wewe ulitaka akurudishie kwa sababu rungu lako limegoma, kwani wakati unahangaika nalo si muda ulipita kidogo? Kama ndivyo muda huo si ulimkosesha wateja wengine? Kiufupi wadau wa biashara hiyo wamepitia taabu nyingi sana hadi wakaungana pamoja na kutengeneza mitandao ya kujilinda. Ungelazimisha urudishiwe loh, mbona ungepata shida sana?
Ndo ukome mkikorofishana na mkeo badala kama kichwa cha nyumba utafute soln.unaenda kuharibu zaidi!Unafikiri huyo atakupa nini zaidi ya kujishusha hadhi!
Acheni kuutafuta UKIMWI ulipolala............!!!!!!!
miaka sita aisee umetudanganya hiyo bei ni ya sasa.ilianza sh.500,1000,1500,mwaka jana sh 2000
Ungekula kabang tu
Koma kabisa....
acha ngono ww kijana
nakumbuka miaka sita iliyopita,nilizinguana na mwandani wangu,nikaona isiwe tabu,nikajikongoja mpaka sudani(temeke),nikaingia kwenye uchochoro wanakokaa dada zetu wale,baada ya kupita mara ya kwanza na kuchunguza kwa makini nikamuona ambaye angenifaa.mi huyoo,nilipokuwa narudia kupita nikazama chumbani mwake,(alikuwa amekaa mlangoni kwa nje),nae akanifuata,akafunga mlango.tukakubaliana buku 3.nikalipa.ukizingatia wasi wasi niliokuwa nao,uoga na mawazo kibao nikihofiangoma na mengineyo,"mzee"akagoma kusimama,mdada wa watu kajaribu wee mpaka akashangaa kwanini mzee hasimami.alipoona hakuna matumaini akanigeuka,akawa mkali na kunifukuza eti nampotezea muda,nilipomwambia anirudishie pesa yangu kwa kuwa sikufanikiwa "kuitumia",mdada kaanza kuongea kiruga,nikaanza kuona watu wamejaa mlangoni,(inavyoonekana alikuwa akiwaita wenzake),nikaona isiwe tabu,nisije nikadhalilishwa bure kwa kipondo,nikafungua mlango nikasepa...
hiyo ndo ikawa mara yangu ya kwanza na ya mwisho kuingia kwenye danguro na kujaribu kuchukua dada poa sehemu yoyote ile!!!
nimeconfess ila waifu hatajua!!!
Na wasi wasi na hofu juu, juu ya uanaume wako