Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
FL1, zipo nyingi sana jamani. Andika majina ya nyimbo unazotaka na quality gani unataka. Kumbuka tu ukubwa wa mafaili kama wataka quality nzuri.......... Itakuchukua muda kudownload kama huna high speed.
Kuna nyingine nilishaweka hapa zamani, angalia hii link na humo kuna wa/za Lokassa.
http://www.mediafire.com/?yryiwzohtnw
Kuna nyingine nilishaweka hapa zamani, angalia hii link na humo kuna wa/za Lokassa.
http://www.mediafire.com/?yryiwzohtnw
Bozi Boziana
Madilu system
Lokassa ya Mbongo..
Unataka kuburn or :becky: