Changia Playlist ya Mchungaji...

FL1, zipo nyingi sana jamani. Andika majina ya nyimbo unazotaka na quality gani unataka. Kumbuka tu ukubwa wa mafaili kama wataka quality nzuri.......... Itakuchukua muda kudownload kama huna high speed.
Kuna nyingine nilishaweka hapa zamani, angalia hii link na humo kuna wa/za Lokassa.

http://www.mediafire.com/?yryiwzohtnw
Bozi Boziana
Madilu system
Lokassa ya Mbongo..

Unataka kuburn or :becky:
 
Rev,

Ukianza na "changia" wengine watakukimbia, michango ya harusi kibao usawa huu, hapo kabla ya mizinga mbuzi.

Kidding.

Mi si zangu Naweza kukupa "Dlala Mapantsula" - TKZee

Kuna machizi wa ma township wanaboogie over electric boogaloo !

http://www.youtube.com/watch?v=Kv6XtsF_6_s

Mwangataa, akileta soo (nawe leta soo)

Mwangataa, akileta soo (nawe leta soo)

Eh ssooo00, eh ssooo, nawe leta soo


 
Last edited by a moderator:
Fan Thomas ni wale magwiji wakali kutoka cameroun waliokuwa wakimtesa Manu Dibango. Kuna mwingine alikuwa akiitwa Elvis Kemayo na yeye alitesa sana na wimbo wake wa "Dance Africa Music" na baadaye Mkongwe Madilu System alikuwa akishirikiana naye na utamsikia tu akimtaja "Elvis Kemayo".

Wimbo wa Premier Gaou wa kundi la Magic System na huu wimbo ulitesa sana Ufaransa. Wafaransa sasa hivi wanajitahidi kuwa kama USA. Hata kwenye Euro vision, wamewakishswa na jamaa ambaye anayetoka RD Congo mwenye jina la Jessy Kimbangi aka Matador.

Premier Gaou : YouTube - ‪Magic System - Premiere Gaou‬‎

Elvis Kemayo: YouTube - ‪Elvis Kemayo Africa Music‬‎

Jessy Matador: YouTube - ‪Magic System - Premiere Gaou‬‎
Halafu kuna Sam Fan Thomas "African Typic Collection" late eighties kama hujapiga hizi wewe collection yako haijakamilika.

YouTube - ‪san fan thomas-african typic collection‬‎


Halafu kuna wale Wa Gabon wanacheza ndani ya maji ya bahari kwenye video yao, wana wimbo unaitwa Gao or something like that.
 
Unazitaka hizi? Ninaweza kukuwekea link kama unahitaji.....

Asante mheshimiwa Sikonge. Nilbahatika kupata baaadi yake kwenye santuri moja. Na nyinginezo huwa nazisiliza kwenye Youtube. Lakini waeza ziweka labda kuna wenzetu ambao wanependa kuzisikiliza.
 
Sikonge,,

Shukrani sana na hiyo ya Mayaula.

Tshala Muana Kokola, Wendemba
Oliver Ngoma: Bane, Mayumba
Wenge Musica Hi Ho Ha, Suprise Kapangala
Kig Kester Emeneya Nzinzi

Nikirudi nyumbani, Zote za King Kiki between 1978-1989, Marquis kabla ya Nguza kuhamia Sambuluma, OSS ya mwanzo ya Kasheba ya Mimi Msafiri niko njiani...

Na Kazwalika.
 
Sikonge,,

Unamkumbuka yule jamaa alikuwa Kenya nafikiri aliimba Ilongie?

Hata huyu Elvis Kemeya au jamaa walioimba Zanzibar na Radio Africa kama unazo mzee ziwasilishe.
 
Rev, wimbo wa Mayaula sijaweka mie. Mpe asante mwenye kuuweka na haitakuwa vizuri kuchukua asante mie.

Nipe muda kidogo niziweke kwenye MP3 maana ninazo kwenye CD na CD zenyewe inabidi kidogo kupekua.
 
Sikonge nakukubali,

Wimbo wa Premier Gaou wa kundi la Magic System na huu wimbo ulitesa sana Ufaransa. Wafaransa sasa hivi wanajitahidi kuwa kama USA. Hata kwenye Euro vision, wamewakishswa na jamaa ambaye anayetoka RD Congo mwenye jina la Jessy Kimbangi aka Matador.

Huu wimbo wa Gaou ndio nilikuwa nausema wa WaGabon nilishindwa kukumbuka jina, nilikuwa na search kwa Gao.

Nangerewa ngerewa, Nangerewa ngerewaaa

Aaaaaah, aaaaaah

Kitu kimetulia.
 
Back
Top Bottom