Changia Mabadiliko Chalinze

Crashwise,

Asante kwa kazi nzuri Chalinze. Mnawavua watu gamba na kuwavika magwanda.

Nimetoa kidogo na natamani kutoa zaidi.
 

Boss, tunachangiaje kwa wale ambao tuko nje ya mipaka ya Tz?

Thanks...
 
Wengi wetu hatuwezi kuchangia kwa vile chama hakina kawaida ya kutoa ripoti ya matumizi
 
yani subirini MPINI NA JEMBE VIJE VIWAINGIE HAPO TAREHE 7 NDO MTAJUA NI MAANA YA CCM GWANDA TUPA KULE CCM HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
Hayo maneno mwambie mwenzako mie nimemjibu tu kutokana na post yake kwangu.

Hao Chadema walishazoea kutukana ndo maana sikuwa na haja ya kumuuliza, Mimi ni mtanganyika halisi!! sina chama
 
Kamanda Leo ndio napata wasaa wa kukaa na Internet boss wangu... ntachangia.. kuna mahali tutakutana. leo tu jioni nitakujulisha kwa njia nyingine na nitafanikishaje mchango wangu wa hali na mali.

deo corleone boss kama hauchangii piata tu wacha kuzingua kaya, kama ulichanga zamani na leo changa, kama huwezi pita tu boss wangu.
 

Pamoja sana makamanda!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Asante kamanda Mungi nimepokea 20,000/= kutoka kwako...
 
Last edited by a moderator:
Mchambuzi makamanda wanaomba mchango wako.
Ritz,

Nimepita maeneo mengi ya Chalinze, wananchi wengi sana wana matumaini makubwa na mgombea wa CCM - Ridhiwani Kikwete. Kwa jimbo hili, Chadema wana kazi kubwa sana ya kufanya kumshinda ridhiwani. I don't see that happening to be honest.
 
Wengi wetu hatuwezi kuchangia kwa vile chama hakina kawaida ya kutoa ripoti ya matumizi

Umelazimishwa? umezoea kufugwa na lumumba kwa hizo buk 7 utaweza kutoa kweli? makamanda tupo imara na tunauchangia ukombozi wa taifa letu dhidi ya hawa wakoloni weusi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…