Utakayempata uzeeni, huyo anakuja moja kwa moja kuchuma na si mapenzi, kumbuka pia uzeeni kiuchumi hakuna uzalishaji mwili, zaidi ya kutumia ulicho kikusanya ujanani.
Inabidi kutafuta kisababishi kwa nini kachepuka, inawezekana mwenzake kimoja tu chali.kama huyo mlioanzia nqye ujanani mmechitiana kuna mapenzi hapo?
Mtu akitaka kuvunja ndoa unamkataliaje sasa, mtu mzima umemtongoza amekubali ukamuoa sasa akaona maisha ya ndoa ni magumu na aende miaka 50 ni kitu gani kwani?
Kama ni mwana mazoezi miaka 50 unakuwa fiti kabisa bila shida na unaoa wanawake wako chungu nzima
Unatakiwa ufanye kazi inavyotakiwa kwa sababu sio pambo la mwiliJamaa tunaonesha changamoto moja wapo ni kukatana mshedede
Kuchukua ushauri kama huu ni ufalaUko juu ya 50 halafu unataka kufanya maamuzi ya vijana wa miaka 30-40
Huko ni kutojitambua.
Kama una 50, kuchapiwa na jambo dogo mno kuwa sababu ya kuvunja ndoa
Ukifikia ule umri wa kupoteza kumbukumbu, utajua utamu wa ndoaMimi tayari ni mzee, sina hizo liabilities na stress. Kama hapa ninafunga shughuli zangu naenda kunywa Balimi zangu baridi, sina anayeniuliza uko wapi, uko na nani, kwanini umechelewa kurudi nyumbani.
Sio lazima uoe mkuu, wazee wengi wanakuwaga na walioachika wenzao, wanasogeza maisha mbele. Ninacholataa mimi ni kwamba, ndoa ishindwe kufanya kazi, mtu ukomae nayo kisa mzee. Hii ni kwa mwanaume na mwanamke mkuu. 😊
Unakuwa mpole ili maisha yaendekuvumilia ni kufanyaje tuanzie hapo kwanza
With strategies Yeees, hakuna jipya chini ya juaUnakuwa mpole ili maisha yaende
No comment mpaka likupate ndo utaamua unakwenda jela or chini ya aridhi now no commentsChukulia umri wako ni zaidi ya miaka 50, na tayari upo kwenye ndoa na mna watoto.
Ikitokea mwenzi wako akachepuka au akakuwekea mazingira ya kutaka kuvunja ndoa, kwako itakuwa ni afya au ni tatizo?
Na je, utakubali ndoa yako ivunjike na mtengane?
Tupe sababu.
Kama utapata ambaye hazimsumbui sana, maisha yatakuwa ni ya utulivuKuna watu wake zao wanawavalia gumboot , wengine wake zao wana muwasho wa hatari. Maisha ni confusion to the max.
Muhimu ni kuzuia asiraNo comment mpaka likupate ndo utaamua unakwenda jela or chini ya aridhi now no comments
Mpaka yakukute ndo utajua zingine ni bla bla tuMuhimu ni kuzuia asira
Kwamba unamaanisha mkiachana tu changamoto za kiuchumi zinaanza?Vipi kuhusu uchumi kuyumba?
Kwani si kuna wanawake wengi wanataka kuolewa na wanaume 40-50?Mwanaume wa miaka 50 unamjua vizuri??
Yaani kama hakuishi health life huko nyuma na hana hela kitamlamba pakubwa mnoo
Nani kakuambia uzeeni hakuna uzalishaji, wazee wengi zaidi ya miaka 70 wanapiga pesa kuliko watoto wao na wanatunza mpaka wajukuuUtakayempata uzeeni, huyo anakuja moja kwa moja kuchuma na si mapenzi, kumbuka pia uzeeni kiuchumi hakuna uzalishaji mwili, zaidi ya kutumia ulicho kikusanya ujanani.
Kwa hiyo vipi utam bembeleza siyo .Miaka 67 uachane na mwenzako, hapo unaenda kumuoa nani, vipi kuhusu uchumi ulioutafuta?
Wanakula bata tuNani kakuambia uzeeni hakuna uzalishaji, wazee wengi zaidi ya miaka 70 wanapiga pesa kuliko watoto wao na wanatunza mpaka wajukuu
Unakaa kimya, nawe unapiga huko nje taratibuKwa hiyo vipi utam bembeleza siyo .