akilinzuri
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 387
- 425
Halafu lengo ni autumie kutoka na rafiki zake kwa UhuruHatak laki anataka nusu ya mshahara
Aende ss akute mshahara ni 200k
Halafu lengo ni autumie kutoka na rafiki zake kwa UhuruHatak laki anataka nusu ya mshahara
Aende ss akute mshahara ni 200k
Numbisa na wewe, stori ya kutunga tu hii hakuna kitu hapo!Mpuuzi sana huyo binti. Hajielewi
Eti ela ya ada inatumwa moja kwa moja hatak nishike 😂😂😂Halafu lengo ni autumie kutoka na rafiki zake kwa Uhuru
Wanafanana tabia karibia wote.Kuna jamaa alisema hawa watoto wa kike wa under 29 ni tatizo..
Ndio madhara ya kuingia kwenye ndoa kijasiriamali. Agenda nyeusi.Kuna mwanaetu kapatwa na changamoto kutoka kwa mke wake Kama ujumbe wa unavosomeka hpa chiniView attachment 2143513
K Vant kweli huyo dadaKuna mwanaetu kapatwa na changamoto kutoka kwa mke wake Kama ujumbe wa unavosomeka hpa chiniView attachment 2143513
Wanawake wa kizazi kipya .hakika huu ni msiba mkubwa












siku hizi twita wanauza mpaka mitaro mkuu tena kweupeeeee.Imeokotwa twita mkuu


Dah.Kuna mwanaetu kapatwa na changamoto kutoka kwa mke wake Kama ujumbe wa unavosomeka hpa chiniView attachment 2143513