Ncherry1
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 2,181
- 2,256
Facthapo hauhitaji ushaurii, hivii unalamikia mapenzi ya nini ndugu,muachee aende zakee
Facthapo hauhitaji ushaurii, hivii unalamikia mapenzi ya nini ndugu,muachee aende zakee
The greatest love of all ni kujipenda ww kwanza... Anafanya hvyo anajua unampenda na huna pa kwenda but ungempotezea ukatafuta mwngne lazma angenyooka hawa wanaume tunawapenda lakin kuwapenda kusitufanye tuwe watumwa.. Aniblok kila nikikosea tena atakuta nshatafuta wa kuzugia na kumueka whatsap profile ataomba poo! Anaweza enda uko akaja na magonjwa hujui anakua na nani!Ninamjali sana mkuu. Na ndio hicho kinachomrudishaga sana. Ninamjali mpaka ananiambia mwenyewe kuwa am too good for him.
Mkuu wewe ni me/ke? Ref: Ninatamani kurudi kwake...Habari zenu?
Moja kwa moja niende kwenye mada. Mimi ni mdada mwenye elimu yangu, kazi zangu na malengo mazuri nikipata uhai na kibali cha Muumba.
Nilipata mpenzi ambaye tumedumu nae kwa mwaka sasa. Ananijua vema. Kuanzia familia mpaka kila kitu kinachonihusu. Yeye pia ninamjua sana hata familia yake ingawa hatujatambulishana.
Mwenzangu simuelewi. Mwanzo alinijali kwa kidogo alichonacho. Kabla sijapata kazi yeye alikua namba moja kujua nimekula nini au kuvaa nini.
Lakini baada ya mwenzangu kuhamishia makazi yake mbali kidogo na nyumbani, amebadilika sana.
Hanijali kama mwanzo. Ugomvi kidogo ukitokea ananiblock. Hata kama hakuna la maana. Kuunblock ni mpaka ajisikie yeye. Anaweza akakaa hata mwezi alafu akanipigia simu usiku kuomba radhi na maisha yanaendelea. Hapo atafululiza kunijali kwa siku kadhaa lakini ninapomuuliza jambo ambalo pengine amenikosea, basi anasusa na kuniblock. Kuniunblock tena ni mpaka ajisikie. Lakini ni lazima anarudi.
Wakuu mi simuelewi. Nimeshamsema tabia hii na bado nikaambulia block. Nikamtafuta kwa namba Mpya na kumwambia bora tuachane. Akakubali lakini baada ya siku kadhaa akanipigia simu na kuniomba msamaha na kudai hawezi kuniacha kabisa. Wakuu hapa nilipo nimepigwa block tena. Nimemuambia asirudi tena ingawa najua atarudi. Siwezi kubadili namba kwa ajili yake.
Hivi na wengine wanapata changamoto kama mimi au? Mimi nimechoka kwa kweli. Ananiambia nimvumilie ye ndivyo alivyo. Namwambia anapoteza muda sana, huo muda wa kuniblock tungekuwa tumefanya jambo la maana la maendeleo, wala haelewi. Na ni mtu mzima kuliko mimi. Yeye ana 28 years sasa.
Hapana mkuu. Akiniunblock sio lazima tuonane. Inakua ni kama yale mapenzi yaliyochipua.Kwa iyo uwa anapiga kimya wee ila nyege zikimshika fasta ana kuunblock
Hahahaaa mkuu... Nitumie basi niweke dpFal* huyo achana nae, Kama vipi chukua hata pic yangu weka katika prof pic ya whatsapp, alafu Annika jinsi unavyofurahia kuwa na mwaume anayekujali....shenzy kbsa
kweli jf haiishi vituko daah nimecheka sana ,acheni kufukua makaburi basiMkuu wewe ni me/ke? Ref: Ninatamani kurudi kwake...