Changamoto za mpenzi zinanikosesha raha

Changamoto za mpenzi zinanikosesha raha

Nadhani kwa kua unamsaidia kuna vitu havipati kama lugha nzuri kwake, unaongea bila kujali. Jishushe kwake msaada wako unaweza kuleta ndoa lah muache maana huwezi kupata future nae.
 
mwanaume kumchukia mpenzi wake, kum block au kukata mawasiliano ni ishara ya :

1. Kutompenda, huenda mchizi hakupendi au hajisikii kuwa na wewe tena.

2. Kuchepuka au kupata mpenzi mpya,.. huenda jamaa kapata kwa kumliwaza hivyo naona we kama unampotezea muda tu na kumpa stress.

3. Kakutana na wife material aliyekuzidi sifa.
huenda jamaa yuko mawindoni anafukuzia kifaa kipya, hivyo anajikuta hawezi kukuacha ghafla wakati bado hajafanikiwa kupata huyo mpya, so kwako yupo mguu mmoj ndani mmoja nje.

4. Ndivyo alivyo. hii ni kwa wanaume ambao hawaendekezi mapenzi, au hawayapi thamani hasa anapokuwa na mambo mengine ya msingi ya kufanya.., simu za kubembelezana huwa zinakuwa kero mtu anaamua kuku block.

angalia ipi inaweza kuwa sahihi kwa huyo wako.
 
Kubali kupotezea mapenzi ishi kama sisi single life yenyewe ukewenza tosha sio kwa stress hizi sasa ukijumlisha Na mwanaume mapenzi tupa uko bwana maisha yanasonga
 
Hata Nikiwa Na Kila Kitu Alaf Moyo Wangu Unakosa Unachokipenda Huwa Natafuta Kitu Mbadala Kama Kwenda Bich , Kula Ninachokipenda ,kuchek Au Kuckiliza Mov Ninayo Ipenda Yan Apo Moyo Hupata Relief .,, Ckia Usimfanye Huyo Ni Muhimu Kama Pumzi Mpuuzie Hata Akipga Cm Pga Chini.,,
 
ushawahi kujiuliza tyme yote hiyo ambayo amekublock huwa anafanya nini?
upendo huwa haupo kwa maneno, bali vitendo.
Hapa kuna mambo mawili tu, hakupendi ama hajui kupenda hivyo hawezi kufeel maumivu unayoyapata.
Kama umemzoea baki nae, lakini kama unahisi kuumia kila siku achana nae.
 
Ninamjali sana mkuu. Na ndio hicho kinachomrudishaga sana. Ninamjali mpaka ananiambia mwenyewe kuwa am too good for him.

Amejua weakness yako ndio maana anakuchezesha ngoma. Kuwa strong akikublock na wewe mblock. Maisha duniani ni kujipa raha try to avoid karaha haswa zinazoletwa na MTU mwenye meno 32 na hamna blood relation
 
Hili jama ni liongo sana linatuchezea akili!

Kumbe Jf ina matapeli hivi?
e2c55c584c524334e408c87ef9d12905.jpg
3009133685931e3505df2e9bcb665d6b.jpg
f17208c6c454d9a97aa4902dc20b118e.jpg
 
Kwanza kublock MTU inaonesha ni jinsi gani unavomuogopa,
So chamsingi kama wew umeamua kumove on with ur life, usijibu call wala text zake zozote either a block asi block wew kausha tuliii usireply chchte wala calls
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom