Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,076
- 6,774
Huwa watu wa hivyo ni visirani, nilikuwaga nablock nafuta namba zote siku 2 naanza kuitafuta hadi anipigie nimehaha hasira hizi jaman.
Hiyo ndio inaitwa akufukuzae akwambii toka, sasa sijui ww unasubiri nin dada, na wewe mblock na usimuunblock tena..Habari zenu?
Moja kwa moja niende kwenye mada.
Mimi ni mdada mwenye elimu yangu, kazi zangu na malengo mazuri nikipata uhai na kibali cha Muumba.Nilipata mpenzi ambaye tumedumu nae kwa mwaka sasa. Ananijua vema. Kuanzia familia mpaka kila kitu kinachonihusu. Yeye pia ninamjua sana hata familia yake ingawa hatujatambulishana. Mwenzangu simuelewi. Mwanzo alinijali kwa kidogo alichonacho.
Kabla sijapata kazi yeye alikua namba moja kujua nimekula nini au kuvaa nini.Lakini baada ya mwenzangu kuhamishia makazi yake mbali kidogo na nyumbani, amebadilika sana.Hanijali kama mwanzo.
Ugomvi kidogo ukitokea ananiblock. Hata kama hakuna la maana. Kuunblock ni mpaka ajisikie yeye. Anaweza akakaa hata mwezi alafu akanipigia simu usiku kuomba radhi na maisha yanaendelea.
Hapo atafululiza kunijali kwa siku kadhaa lakini ninapomuuliza jambo ambalo pengine amenikosea, basi anasusa na kuniblock. Kuniunblock tena ni mpaka ajisikie. Lakini ni lazima anarudi.
Wakuu mi simuelewi. Nimeshamsema tabia hii na bado nikaambulia block. Nikamtafuta kwa namba mpya na kumwambia bora tuachane. Akakubali lakini baada ya siku kadhaa akanipigia simu na kuniomba msamaha na kudai hawezi kuniacha kabisa.
Wakuu hapa nilipo nimepigwa block tena. Nimemuambia asirudi tena ingawa najua atarudi. Siwezi kubadili namba kwa ajili yake. Hivi na wengine wanapata changamoto kama mimi au? Mimi nimechoka kwa kweli.
Ananiambia nimvumilie ye ndivyo alivyo. Namwambia anapoteza muda sana, huo muda wa kuniblock tungekuwa tumefanya jambo la maana la maendeleo, wala haelewi. Na ni mtu mzima kuliko mimi. Yeye ana 28 years sasa.
ndio ulikosea unaacha kumuamini huyo mwandani wako utamwamini nani,ni pm tafadhaliNami nashangaa jamani. Anasusa na kublock hovyo. Kama jana hoja tuliyoongelea ni kufungua mradi, nikamwambia mimi nakusaidia kufungua ila sitahusika na mali yoyote na siwezi kutoa pesa zangu sababu naogopa kukuamini, we si mume. Hilo neno kuogopa likaniletea block jamani. Au nilikosea kusema hivi?
Hujawahi penda weweIvi kwann utesek na mtu mmoj tu why ulizaliw nae? Si umpotezee uangalie mtindo mwingine wa maisha duh mi sjawai tesek ivo ATI mapenz labda uenda namm yatanifik ila sizan
You are really marvelousAisee una moyo wa plastic yaani ana kublock anarudi na mnaedelea kama kawaida aafu unasema mna uhusiano...na akirudi unamsamehe kama vile wewe ndio mwenye kosa mnaedelea mpaka aje aku block tena...serious huitaji ushahidi mwingine zaidi ya huu..upo mahala hutakiwi kabisaa na jamaa kashajua weakness zako anakuchezea kama vile wewe ni mdoli.
Ushawai kumblock hata mara moja nae aoje joto la jiwe kama wèwe.
Hapa chomoka mbio mblock milele sio tu simu hata ndani ya moyo wako na futa kabisa kwenye akili yako lolote kuhusu huyu mr block.

Mkuu wewe ni me/ke? Ref: Ninatamani kurudi kwake...



bora umensaidia mana akati nasoma thread yake ikanijia sauti ya kiume...yani mwandiko tu mtu unajua huyu ni dume...sasa kabla sijaelekea kune profile yake nkakuta ushamuumbua



inaboa sana....where love is not reciprocated is a dead end no matter hoe sweet th past t was....mapenzi hua hayalazimishwi na ukishji expose ua weakness umekwisha kabisa...hapa ni kama toilet paper imetumika na kuitupa hukoooo...You are really marvelous![]()