Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,941
wewe umeshaoa?Unatakiwa uchelewe ili ujijenge kiuchumi+carrier na kiakili ...mixer ule bata/ujana sana uwagonge sana mpaka ukinai ndo uoe, habari za umetoka chuo tu miaka 2/3 mbele unaoa ni ufala
Yaan umeoa unaanza kuwaza sijui ukachukue masters /PhD sijui ufungue biashara sijui ununue gari/nyumba ....mara unatamani uende club au unatamani kutoka na pisi Kali,hivyo vitu vyooote inabidi uvifanye kabla hujaoa ...ukishaoa unakaa na binti wa watu mnajenga familia





